Hivi donati na maandazi kuna utofauti gani ?

Mkuu, naona unanikosea adabu kwa kunifananisha na dhambi ambayo hata shetani aliiogopa....[emoji45] [emoji45]
Sorry bro, ni hii baridi na nipo hapa Horohoro nishatema moghokaa, mawazo yote mabaya yananipitia.
 
Sorry bro, ni hii baridi na nipo hapa Horohoro nishatema moghokaa, mawazo yote mabaya yananipitia.
Usjali mkuu, hiyo mbona inajulikana sana watumiaji wa SHITHOLE
 
Picha uliyoitumia sio nzuri kwa sisi mafisi, ila tofauti pekee nya Andazi na Kitumbua ni Unga: wa mahindi na wa ngano....ushuzi wa chapati, donati, pizza, wooote ni ngano. Ngano ni dili ndo maana Baresa kashika hapohapo
 
Picha uliyoitumia sio nzuri kwa sisi mafisi, ila tofauti pekee nya Andazi na Kitumbua ni Unga: wa mahindi na wa ngano....ushuzi wa chapati, donati, pizza, wooote ni ngano. Ngano ni dili ndo maana Baresa kashika hapohapo
haionekani ?
 
Picha uliyoitumia sio nzuri kwa sisi mafisi, ila tofauti pekee nya Andazi na Kitumbua ni Unga: wa mahindi na wa ngano....ushuzi wa chapati, donati, pizza, wooote ni ngano. Ngano ni dili ndo maana Baresa kashika hapohapo
Team walaji wa marinda!
 
Hahahahahaa picha fikirishi sana hii
 
Ww umelenga donati kitafunwa au just a symbol ov s,thng else
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…