Hivi E-fm wamefilisika??? Au wameamua tu kubadili mikakati na mipango kazi???

Hivi E-fm wamefilisika??? Au wameamua tu kubadili mikakati na mipango kazi???

Kwanza Sina Shaka Na Uwezo wa kiakili na kiubunifu Wa CEO Wa EFM Majizzo Jamaa ni Kichwa",

Mikakati Na Mipango Kazi wake Wa Mwanzo Ulileta Mapinduzi Makubwa Kwenye MEDIA INDUSTRY Hasa Ile ya Kuipeleka Radio Uswahili(Singeli) Na Kuanzisha Kipindi Cha Michezo Na Vinginevyo Asubuhi Jamaa Alikua Game Changer".

Kwasasa EFM Ni Miongoni Mwa Top 3 Media zinazofanya vizuri Nchini",

Ila Changamoto kwa Kipindi Cha miezi ya karibuni Ni Availability ya Efm kwa Frequency za kawaida imekua Haipo (kwa Mwanza Toka Mwaka jana mwezi wa 12) sjajua kwa mikoa mingine?
Imekua Inapatikana kwa Internet Tu (radios Na YouTube)",

Je EFM Running Cost ya Kuendelea ku Maintain Masafa ya kawaida Imekata?? Au Tu Wameamua kuibadili kuwa Internet Radio??
Hata hapa mbeya 103.3 haishiki, hadi nitumie radio box ndo niwapate.vipindi vya michezo asubuhi na jioni,Jioni ya leo,pamoja na genge, ndo huwa naskiliza
 
Hata hapa mbeya 103.3 haishiki, hadi nitumie radio box ndo niwapate.vipindi vya michezo asubuhi na jioni,Jioni ya leo,pamoja na genge, ndo huwa naskiliza
Basi Mtaji wa kusambaza Masafa mikoani utakua umekata
 
Dah sijui imekawaje, kuna mtu alishaletaga uzi kwamba itanunuliwa nayo. Front kapelekwa mchungaji lakini naamini mmiliki ni mwanasiasa.

Vyovyote vile itakavyokuwa ila jamaa alionesha uthubutu, nampongeza kwa hilo.
 
Mwanzo wa bar kufilisika inaanza hivi
Bar mara ya kwanza inakuwa habari ya mjini.
ya pili inaanza kupunguza vitu jikoni ukitaka makange ya kuku hakuna.

ya tatu aina ya vinywaji vinaanza kupungua na kubakisha vile vinavyo kwenda tena kwa kusua sua.

ya nne unaona wahudumu wale wazuri wameanza kupotea kwenye bar na wanabaki madunga yembe.

Ya tano bar inabadilisha jiko linaanza kuuza kitimoto .

Ya sita bar imeshindikana inafungwa na kuwa ukumbi wa kufanyia sherehee.

Ya saba walokole wanalichukua eneo linakuwa kanisa.

EFM wapo ya tatu
Kisa kinaendana na SISIMIZI BAR Ubungo mbele ya TBS Sam Nujoma Road😀
 
Kwanza Sina Shaka Na Uwezo wa kiakili na kiubunifu Wa CEO Wa EFM Majizzo Jamaa ni Kichwa",

Mikakati Na Mipango Kazi wake Wa Mwanzo Ulileta Mapinduzi Makubwa Kwenye MEDIA INDUSTRY Hasa Ile ya Kuipeleka Radio Uswahili(Singeli) Na Kuanzisha Kipindi Cha Michezo Na Vinginevyo Asubuhi Jamaa Alikua Game Changer".

Kwasasa EFM Ni Miongoni Mwa Top 3 Media zinazofanya vizuri Nchini",

Ila Changamoto kwa Kipindi Cha miezi ya karibuni Ni Availability ya Efm kwa Frequency za kawaida imekua Haipo (kwa Mwanza Toka Mwaka jana mwezi wa 12) sjajua kwa mikoa mingine?
Imekua Inapatikana kwa Internet Tu (radios Na YouTube)",

Je EFM Running Cost ya Kuendelea ku Maintain Masafa ya kawaida Imekata?? Au Tu Wameamua kuibadili kuwa Internet Radio??
Hapa Mbagala Kuu ndio Kabisa haishiki. Labda Nisogee Kibonde maji huko au maji matitu, ila kwa mparange na kwa mama kibonge wao ni chenga tu ni sawa na kipati
 
Sio EFM tu, huku Sumbawanga radio Clouds, Wasafi zimeacha kupatikana tangia mwishini mwa mwaka Jana.

Hali ni mbaya kwao.
 
Back
Top Bottom