Hivi EATV wamekosa kabisa wa kufanya nao vipindi hadi kufanya na huyu mkaa uchi????

PROF NDUMILAKUWILI

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2016
Posts
10,518
Reaction score
13,144
Hivi karibuni katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii ili kujipatia habari nilikutana na picha chafu za uchi za binti wa Kitanzania ambazo nilifanya kuzipotezea,kilicho ni shangaza siku chache zilizopita sura hiyo hiyo nimeiona EATV ikifanyiwa kipindi Je nikwamba hawa EATV wamekosa kabisa wa kufanya nao kipindi hadi kumpa nafasi mkaa uchi?


Picha hapo chini ni binti huyo akiwa kwenye kipindi EATV[emoji116]

Na picha hii ni moja ya picha za huyo binti ambayo kidogo inaweza kutazamika maana zingine ziko vibaya siwezi kuziweka hapa[emoji116]

-Ndumilakuwili-
 
Zoom hiyo picha ya pili,ana magonjwa sugu mapajan hadi kwenye nanilii. Huyu binti anajidhalilisha sana kisa kutafuta umaarufu

Kuna ile picha anachorwa tattoo ya tako aisee
 
Wewe pia ulichokifanya hakina tofauti na hao EATV ungeacha ulichokiona huko huko kwenye tv, sidhani kama wengi walikaa kuangalia hicho kipindi, ila kwa kuleta hapa imefanya wengi kumtambua huyu 'mkaa uchi' ni nani na pengine wafanye kumtafuta, so umezidi kumpa millage.
 
Sawa.

-Ndumilakuwili-
 
Hahaha mbona yupo hivyo kumbe n promo tu

Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
 
Zoom hiyo picha ya pili,ana magonjwa sugu mapajan hadi kwenye nanilii. Huyu binti anajidhalilisha sana kisa kutafuta umaarufu

Kuna ile picha anachorwa tattoo ya tako aisee
Ha ha ha !
Numbisa bhana! Magonjwa sugu yapi??
 
Amechoka sana.Watafute mabinti ambao hawajatumika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…