Hivi electoral college maana yake nini?

Hivi electoral college maana yake nini?

Ukipata idadi ya House of Representatives Representation ya state, basi hiyo ndiyo namba ya electoral college ya hiyo state
Hiyo idadi ya representatives ni kila jimbo hujiamulia au kuna vigezo? Hicho ndicho nachouliza.
 
Hiyo idadi ya representatives ni kila jimbo hujiamulia au kuna vigezo? Hicho ndicho nachouliza.
Population, na kwa US Wyoming ndiyo Jimbo ambalo ni less populated na hivyo lina muwakilishi mmoja tu
 
Bila hivyo Wanawake wangekuwa washawahi kuwa Marais Marekani, mshindi wa Urais anatakiwa awe mtu wa maana
 
Mpina na Samia nani anafaa kuwa Rais?

Kwa sababu Popular votes inaweza kuwa compromised na ujanja Marekani imeweka utaratibu wa kuwa na Watu wa maana ambao wao ndio wataamua nani awe Rais.

Huyu Kamala muda wote anacheka checka bila sababu, atapata Kura chache hakuna Mfano
 
Population, na kwa US Wyoming ndiyo Jimbo ambalo ni less populated na hivyo lina muwakilishi mmoja tu
Thanks. Hii inasaidia vipi majimbo yenye population kubwa kutoamua mshindi? Maana ndio point ya niliyem-quote mwanzoni akitoa mfano wa Kanda ya Ziwa kwa Tanzania.
 
Marekani na ulaya wameweka mfumo unaohakikisha Viongozi wakuu wanaochaguliwa ni wale wanaoendana na matakwa ya kimfumo ya watawala

Marekani na ulaya hawaruhusu kura za mihemuko kama zile alizopigiwa Adolph Hitler na wajerumani

Pia nchini Marekani wameamua kutumia mfumo huo kuzuia mgawanyiko unaotokana na baadhi ya maeneo kuwa na Idadi kubwa ya watu

Electrol college kwa lugha nyepesi ni Baraza la uchaguzi ambalo kimsingi linajumuisha Wajumbe ambao ndiyo huamua nani awe Rais wa Marekani

Wajumbe hao wapi kwenye majimbo ya uchaguzi na Idadi Yao hutokana na ukubwa wa eneo la Jimbo husika

Hata hivyo kila Jimbo la uchaguzi huwa na kura moja regardless ya ukubwa wa Jimbo husika na ndiyo jumla yake hufikia 538.

Yapo majimbo yenye Idadi kubwa ya majimbo ya kiuchagizi lakini mshindi wa kila Jimbo la uchaguzi hupewa kura moja.

Wamarekani kupitia popular vote huwa wanatoa tu maoni ya nani wanaona anafaa kuwa Rais lakini wale wajumbe wao ndiyo huamua nani awe Rais

Kiufupi ni mfumo usio wa kidemokrasia japo unatumika na unakubalika nchini humo
 
Marekani na ulaya wameweka mfumo unaohakikisha Viongozi wakuu wanaochagiliwa na wale wanaoendana na matakwa ya watawala

Electrol college Kwa Marekani Kwa lugha nyepesi ni Baraza la uchaguzi ambalo kimsingi ni Baraza la Wajumbe ambayo ndiyo huamua nani awe Rais wa Marekani

Wamarekani kupitia popular vote huwa wanatoa tu maoni ya nani wanaona anafaa kuwa Rais lakini wale wajumbe wao huamua nani awe Rais

Kiufupi ni mfumo usio wa kidemokrasia japo unatumika na unakubalika nchini humo
Huelewi vizuri. Wale wajumbe hupiga kura kulingana na electoral vote za majimbo.
 
Thanks. Hii inasaidia vipi majimbo yenye population kubwa kutoamua mshindi? Maana ndio point ya niliyem-quote mwanzoni akitoa mfano wa Kanda ya Ziwa kwa Tanzania.
Mfano wa Marekani tunaweza kutolea kwenye case ndogo ya Zanzibar.

Zanzibar ukitoa emergency ya Rais kufa hatuwezi kutoa Rais sababu hawezi kupata Kura za kutosha Zanzibar, mfano Chadema wao huwa hawafocus kabisa na Zanzibar wanasema Zanzibar yote inakura sawa na Jimbo la Kinondoni au Ubungo because of that Zanzibar aina Sauti kwenye Siasa za muungano.

Now imagine nchi zaidi ya 50 zenye Watu na uchumi tofauti ziwe zinapiga Kura kuchagua nani awe Rais, wagombea watafocus majimbo makubwa na community kubwa (hili Lina athiri Uingereza kwa sasa kuna Neighborhood zina Wahindi wengi sana kuliko Native, na mtu mwenye Asili ya kihindi ndio defacto winner)

Hili kuondoa hii Bias Marekani walibuni mfumo ambayo kila Jimbo kuwa na equal voice so wagombea wanatoa uzito sawa kwenye kila Jimbo
 
Marekani na ulaya wameweka mfumo unaohakikisha Viongozi wakuu wanaochagiliwa na wale wanaoendana na matakwa ya watawala

Electrol college Kwa Marekani Kwa lugha nyepesi ni Baraza la uchaguzi ambalo kimsingi ni Baraza la Wajumbe ambayo ndiyo huamua nani awe Rais wa Marekani

Wamarekani kupitia popular vote huwa wanatoa tu maoni ya nani wanaona anafaa kuwa Rais lakini wale wajumbe wao huamua nani awe Rais

Kiufupi ni mfumo usio wa kidemokrasia japo unatumika na unakubalika nchini humo
Kwa hiyo uchaguzi wa Marekani baada ya popular votes kuna wajumbe wanakuja kuitisha vikao kumchagua rais? Mnatuchanganya sasa.
 
Mfano wa Marekani tunaweza kutolea kwenye case ndogo ya Zanzibar.

Zanzibar ukitoa emergency ya Rais kufa hatuwezi kutoa Rais sababu hawezi kupata Kura za kutosha Zanzibar, mfano Chadema wao huwa hawafocus kabisa na Zanzibar wanasema Zanzibar yote inakura sawa na Jimbo la Kinondoni au Ubungo because of that Zanzibar aina Sauti kwenye Siasa za muungano.

Now imagine nchi zaidi ya 50 zenye Watu na uchumi tofauti ziwe zinapiga Kura kuchagua nani awe Rais, wagombea watafocus majimbo makubwa na community kubwa (hili Lina athiri Uingereza kwa sasa kuna Neighborhood zina Wahindi wengi sana kuliko Native, na mtu mwenye Asili ya kihindi ndio defacto winner)

Hili kuondoa hii Bias Marekani walibuni mfumo ambayo kila Jimbo kuwa na equal voice so wagombea wanatoa uzito sawa kwenye kila Jimbo
Shukran kwa ufafanuzi japo bado. Tungekuwa na utaratibu wa electoral college ingeisaidia vipi Zanzibar? Maana kwa uchache wao still wangekuwa na electoral votes chache pengine moja tu! Still isingewashawishi Chadema ku-focus huko.
 
Thanks. Hii inasaidia vipi majimbo yenye population kubwa kutoamua mshindi? Maana ndio point ya niliyem-quote mwanzoni akitoa mfano wa Kanda ya Ziwa kwa Tanzania.
Ushindani huwa unahamishiwa kwenye majimbo hayo, maana miongoni mwa voters kunakuwepo pia na undecided voters, ingawa kuna majimbo yenyewe huwa ni kama brand ya vyama fulani
 
Unadhani kila mtu LGBTQ+ kama wewe dogo
Ona koment yako imechafua hali ya hewa huku
Marekani hakuna demokrasia acheni janja janja
Sawa Bwana Utamu, ngoja nikutafutie wateja hapa Michigan, waje wakubandue
 
Back
Top Bottom