Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
jamani leo kuna ndugu yangu nimemlipia elfu hamsini kwa ajili ya kusoma degree mwaka huu...kupitia mtandao wa nacte kwa equivalent
kwa maisha ya sasa elfu hamsini ni ndefuu sana....si mchezo ivi ikitokea kweli mtu amekosaa chuo hivi hawa jamaa huwa wanarudisha pesa....za apllicant....au zinakwenda serikalini..
mkuu we acha tu--serikali imeona itumie kigezo cha ukosefu wa nafasi za masomo kuwakamua watanzania.
jamani leo kuna ndugu yangu nimemlipia elfu hamsini kwa ajili ya kusoma degree mwaka huu...kupitia mtandao wa nacte kwa equivalent
kwa maisha ya sasa elfu hamsini ni ndefuu sana....si mchezo ivi ikitokea kweli mtu amekosaa chuo hivi hawa jamaa huwa wanarudisha pesa....za apllicant....au zinakwenda serikalini..
jamani leo kuna ndugu yangu nimemlipia elfu hamsini kwa ajili ya kusoma degree mwaka huu...kupitia mtandao wa nacte kwa equivalent
kwa maisha ya sasa elfu hamsini ni ndefuu sana....si mchezo ivi ikitokea kweli mtu amekosaa chuo hivi hawa jamaa huwa wanarudisha pesa....za apllicant....au zinakwenda serikalini..
Mkuu kinachotakiwa awe na GPA ya 2.7 yeye anangapi
GPA ya nini wakati ni undergraduate???punguza viroba