kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Scandal yake ambayo wengi hawaijui ni ya usagaji, kasagana na mademu wengi wakali apa town, mfano rehema fabian,wolper nae kakasaga sana aka katoto n demu mmoja anajiita lee ,Alikuwa anaishi mbezi beach karibia na interchick ila sasa ivi wapo ulaya na familia yake, anasoma na kuishi uko.
Ila ni kabint ambako kana heshima sana, japokuwa ni mzuri na anatoka kwenye familia ya kitajiri, hyo haijamfanya awe na dharau, inshort anajielewa na Hana ulimbukeni wa maisha kama baadhi ya mastaa, kanajielewa sana
Scandal yake ambayo wengi hawaijui ni ya usagaji, kasagana na mademu wengi wakali apa town, mfano rehema fabian,wolper nae kakasaga sana aka katoto n demu mmoja anajiita lee ,Alikuwa anaishi mbezi beach karibia na interchick ila sasa ivi wapo ulaya na familia yake, anasoma na kuishi uko.
Ila ni kabint ambako kana heshima sana, japokuwa ni mzuri na anatoka kwenye familia ya kitajiri, hyo haijamfanya awe na dharau, inshort anajielewa na Hana ulimbukeni wa maisha kama baadhi ya mastaa, kanajielewa sana
This is completely not true..namjua kuliko unavodanganya umma acha fix we jamaa!
Mkuu kwa detail hizi nakupa PHD ya UMBEA uliotukuka.....Mimi namjua kuliko unavyomjua wewe, baba yake anamiliki one of the yards maeneo ya kijitonyama karibia na KD hotel, Baba yake ana range ya silver n mark 2 kama sikosei, na kwao wapo watatu, yeye ndo wa kwanza anafuatia mdogo wake wa pil mwenye miaka 5 na mwingine aliyezaliwa ivi karibuni , baba yake ana pesa sana, walikuwa wanaishi mbezi beach karibia na inrerchick
Mimi namjua kuliko unavyomjua wewe, baba yake anamiliki one of the yards maeneo ya kijitonyama karibia na KD hotel, Baba yake ana range ya silver n mark 2 kama sikosei, na kwao wapo watatu, yeye ndo wa kwanza anafuatia mdogo wake wa pil mwenye miaka 5 na mwingine aliyezaliwa ivi karibuni , baba yake ana pesa sana, walikuwa wanaishi mbezi beach karibia na inrerchick
Sasa kumfahamu baba yake kuna halalisha vp wewe kumuhisisha dogo na usagaji? acha blah blah mzee
Sasa kumfahamu baba yake kuna halalisha vp wewe kumuhisisha dogo na usagaji? acha blah blah mzee
Nilitaka kukufahamisha tu namjua faiza kuliko unavyodhani, maana unafikir labda sijui ninachokiongea mkuu,
Huo muda mnaoupoteza kwa kuwaza na kuwazua maskendo ya watu ambao hawana tija katika maisha yenu mtakuja kuujutia...
Muda siku zote hautoshi....ndio maana hakuna mtu aliyekufa bila ya kuacha mipango mingi tu....
Kwa jinsi mnavyoumiza vichwa kuchunguza mambo ya kipuuzi mngekuwa mnaumiza vichwa jinsi ya kutatua changamoto zinazo wakabili kwa kweli mngekuwa mbali sana maana mnatumia nguvu nyingi sana....
Tujitahidi kuutumia muda vizuri maana ukipotea ndio basi tena...
Anza wewe kwanza
Thibitisha uhusika wake na kashfa unayo jaribu kumpakazia!
nina shida na umbea wa young d nipm pliiz
ebhanaeeee!!!!.ckujua kama celebrity forum kuna mambo namna hii.....eeheee naskia young d anatumia madude siku moja moja chini ya usimamizi wa mtoto tukutu dogo himidu-26 #,nyandu tozzzzz.sina hakika lakini.
Mkuu kwa detail hizi nakupa PHD ya UMBEA uliotukuka.....
Mpaka ananipa mshangao....maana kwa maisha yalivyo magumu watu kila saa wako speed kufukuzia faranga sijui mwenzetu anapataje muda wa kuchunguza mambo ya watu kiasi hiki...??.....ha ha ha kuna watu wambea aisee huyu jamaa kazidi
Si kwa ubaya....Anza wewe kwanza