Sikujua, ndoa hizi jamani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!
Duh!
Itabidi nimuulize mhusika!
Yaani katika mambo yanaukakasi ni pamoja na ndoa kuvunjika, inauma sana , upendo ule wa kwanza ukishindwa kuwaweka pamoja ni maumivu kiukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kwamba ufurahi Mzee Jimbo linabaki Wazi Unaweza ukapambana ukatunukiwa Mbunye..Naomba nisisikie kuwa ameachika, nampenda huyu Dada na huwa namtakia Mema yote
Kwanini unasema hivyo mkuuActivists,role models especially women are 99% more likely not to be married or to stay in marriage
Kwamaana hiyo Alitaka akae Kwenye ndoa bila Kuzaa. dah!Flav anapenda wembamba,dili kubwa kwa sana, sasa masuala ya kubeba mimba na kulea wapi na wapi
Kwamaana hiyo Alitaka akae Kwenye ndoa bila Kuzaa. dah!
Nlishajua watajitokeza wanaonikejeli.. Na solution ni kupigana vitofali mpaka watakoma wenyewe. Ndo gia ya kumaliza mwakaMtoa Mada amejiandaa kuchambana na wanaomkejeli
Wanasahau uzee unakaribia.. Hawawez lala na midoli foreverWadada wa siku hizi wanalala na midoli, wanasema inawanogesha sana
Ukijaribu kumuuliza anakuwa mkali itakuwa issue ya kuzaa ndo imepeperusha hiyo ndoa labda. Maana huyu dada ana mambo ya u model sana
Mbona hii mada imekukuna sana ama wewe ndo Flaviana mwenyewe tunakusema huku?Kwani unataka kumuoa? Ila ingependeza ukamuuliza mwenyewe kisha ukarudi kutujuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaaaaaa.. Naaam kamarada umenena vemaSiyo kwamba ufurahi Mzee Jimbo linabaki Wazi Unaweza ukapambana ukatunukiwa Mbunye..
Naomba nisisikie kuwa ameachika, nampenda huyu Dada na huwa namtakia Mema yote
Aliachika
Jini mkata kamba alishapita nayo hio ndoa