Hivi Godbess Lema huwa anakuwa na ushahidi wa anachozungumza au kuandika?

Error 404

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2022
Posts
2,151
Reaction score
3,493
Mambo mengine ni serious sana, mfano haya mambo mbona kama ni makubwa na baadhi inaonekana hayana ukweli?

Your browser is not able to display this video.
 
Kufanikiwa kupo shida nchi yetu kwa sasa serikali yetu ni kama inaelekea kufirisika haina pesa mtaani kugumu sio michezo kila bidhaa inapanda bei
 
Kuna muda mtanzania anatulia kama dereva wa gari manual, anaendesha akitabasamu, halafu anashtuka ghafla kumbe kaweka neutral mteremkoni🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…