Sniper JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,957 Reaction score 827 Mar 28, 2011 #41 Rose1980 said: wawili Click to expand... kama ni hivyo basi kuna vicheche wengi sana kuzidi hao wanaoitwa vicheche
Rose1980 said: wawili Click to expand... kama ni hivyo basi kuna vicheche wengi sana kuzidi hao wanaoitwa vicheche
Sniper JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,957 Reaction score 827 Mar 28, 2011 #42 Lizzy said: Maswali mengine bwana!Unataka kujua kama umefikia kiwango?Piga hesabu ya uliokua nao na sababu zilizokusukuma kua nao...maana unaweza ukawa umetembea na wengi bila kukusudia katika harakati za kumtafuta anaekufaa! Click to expand... Mimi nilitembea na kama ishitini hivi, ila mwishoni nikampata anayenifaa.
Lizzy said: Maswali mengine bwana!Unataka kujua kama umefikia kiwango?Piga hesabu ya uliokua nao na sababu zilizokusukuma kua nao...maana unaweza ukawa umetembea na wengi bila kukusudia katika harakati za kumtafuta anaekufaa! Click to expand... Mimi nilitembea na kama ishitini hivi, ila mwishoni nikampata anayenifaa.
Rose1980 JF-Expert Member Joined May 10, 2010 Posts 5,684 Reaction score 1,305 Mar 28, 2011 #43 Sniper said: kama ni hivyo basi kuna vicheche wengi sana kuzidi hao wanaoitwa vicheche Click to expand... true cz angalia nin maana ya kicheche?bila kuangalia sababu za kuwa na weng
Sniper said: kama ni hivyo basi kuna vicheche wengi sana kuzidi hao wanaoitwa vicheche Click to expand... true cz angalia nin maana ya kicheche?bila kuangalia sababu za kuwa na weng
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,009 Reaction score 60,629 Mar 28, 2011 #44 Sniper said: Mimi nilitembea na kama ishitini hivi, ila mwishoni nikampata anayenifaa. Click to expand... Kama hukufanya kwa nia ya kutembeza nanii yako kila kona ya mji/nchi basi sio kicheche!
Sniper said: Mimi nilitembea na kama ishitini hivi, ila mwishoni nikampata anayenifaa. Click to expand... Kama hukufanya kwa nia ya kutembeza nanii yako kila kona ya mji/nchi basi sio kicheche!