Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
Wakuu hivi kwa mini huwa vigumu kwa club zetu kualikana katika siku zao muhimu mfano SIMBA DAY, club ya SIMBA iwaalike YANGA au AZAM ili kujiongezea mapato, kuliko kualika timu za nje kila mara, ni bora wangefanya hata mara moja moja basi