LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Habari za humu wana jukwaa natumaini hamjambo.
Nimekuja na mada hii baada ya kulala giza kila wakati, pia kushindwa kufanya kazi zangu za kiuchumi.
Yaani serikali yenyewe iwe inachimbia tu nguzo halafu kuwepo na makampuni ya kupitisha waya za umeme, naamini nguzo moja kuna uwezekano wa kupitisha hata line tatu za umeme.
Yaani iwe kama barabara tu inajenga serikali lakini kila mtu anaweka usafiri wake.
Nimemaliza, ni hivo tu yaani.
Nimekuja na mada hii baada ya kulala giza kila wakati, pia kushindwa kufanya kazi zangu za kiuchumi.
Yaani serikali yenyewe iwe inachimbia tu nguzo halafu kuwepo na makampuni ya kupitisha waya za umeme, naamini nguzo moja kuna uwezekano wa kupitisha hata line tatu za umeme.
Yaani iwe kama barabara tu inajenga serikali lakini kila mtu anaweka usafiri wake.
Nimemaliza, ni hivo tu yaani.