Kibua JF-Expert Member Joined Jan 3, 2012 Posts 577 Reaction score 1,606 Aug 24, 2019 #21 Gongowazi badala ya kujadili hatma ya yule kocha wenu dalali baada ya kufungwa leo.. mishipa imewatoka kufatilia habari za Machampion
Gongowazi badala ya kujadili hatma ya yule kocha wenu dalali baada ya kufungwa leo.. mishipa imewatoka kufatilia habari za Machampion
Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 32,639 Reaction score 42,908 Aug 24, 2019 #22 K.Msese said: Hizo kanuni zilikuwa wapi siku zote wakt Manara akiwa msemaji wa Simba? Au wameziweka juzi kumtafutia sababu wamwondoe? Wee upo jikoni, waambie hao viongozi waache ujinga, sheria zianze siku manara anaondoka mwenyewe au anakufa! Click to expand... πππ hii kali π€£π€£ π€£
K.Msese said: Hizo kanuni zilikuwa wapi siku zote wakt Manara akiwa msemaji wa Simba? Au wameziweka juzi kumtafutia sababu wamwondoe? Wee upo jikoni, waambie hao viongozi waache ujinga, sheria zianze siku manara anaondoka mwenyewe au anakufa! Click to expand... πππ hii kali π€£π€£ π€£
Chakaza JF-Expert Member Joined Mar 10, 2007 Posts 40,455 Reaction score 73,145 Aug 24, 2019 #23 K.Msese said: Hizo kanuni zilikuwa wapi siku zote wakt Manara akiwa msemaji wa Simba? Au wameziweka juzi kumtafutia sababu wamwondoe? Wee upo jikoni, waambie hao viongozi waache ujinga, sheria zianze siku manara anaondoka mwenyewe au anakufa! Click to expand... Kumbuka sasa hivi club inaendeshwa kama kampuni. Simba sasa hivi iko viwango vya Barcelona, Man U, Arsenal nk kwani ujue kuna uwekezaji pale. Hayo mambo ya timu za Ndondo wameachiwa jamaa wa wale walio Botswana leo
K.Msese said: Hizo kanuni zilikuwa wapi siku zote wakt Manara akiwa msemaji wa Simba? Au wameziweka juzi kumtafutia sababu wamwondoe? Wee upo jikoni, waambie hao viongozi waache ujinga, sheria zianze siku manara anaondoka mwenyewe au anakufa! Click to expand... Kumbuka sasa hivi club inaendeshwa kama kampuni. Simba sasa hivi iko viwango vya Barcelona, Man U, Arsenal nk kwani ujue kuna uwekezaji pale. Hayo mambo ya timu za Ndondo wameachiwa jamaa wa wale walio Botswana leo
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Aug 24, 2019 #24 Ngoja tuone... Cc: mahondaw