Matiko manga
Member
- Jun 18, 2024
- 9
- 15
Hebu tuwe wakweli ndugu zangu watanzania, ni kweli hakuna jema linalofanywa na Serikali yetu? Mbona asilimia kubwa humu tunapenda kulaumu sana.
Sijasema viongozi wetu ni malaika hapana, lakini ni kweli hakuna wanachofanya? Ni kweli wanauza nchi?
Kuongoza nchi sio kama kuongoza familia. Kwenye familia ya mke na watoto wawili tu baba unaweza usieleweke ndio uje ueleweke na raia milioni zaidi ya 60.
Tuendelee kukosoa lakini pale pakupongeza pia tupongeze.niwatakieni jumatano njema.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU UBARIKI UMOJA WETU
Sijasema viongozi wetu ni malaika hapana, lakini ni kweli hakuna wanachofanya? Ni kweli wanauza nchi?
Kuongoza nchi sio kama kuongoza familia. Kwenye familia ya mke na watoto wawili tu baba unaweza usieleweke ndio uje ueleweke na raia milioni zaidi ya 60.
Tuendelee kukosoa lakini pale pakupongeza pia tupongeze.niwatakieni jumatano njema.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU UBARIKI UMOJA WETU