Hivi hakuna jema linalofanywa na Serikali

Hivi hakuna jema linalofanywa na Serikali

Hebu tuwe wakweli ndugu zangu watanzania, ni kweli hakuna jema linalofanywa na Serikali yetu? Mbona asilimia kubwa humu tunapenda kulaumu sana.

Sijasema viongozi wetu ni malaika hapana, lakini ni kweli hakuna wanachofanya? Ni kweli wanauza nchi?

Kuongoza nchi sio kama kuongoza familia. Kwenye familia ya mke na watoto wawili tu baba unaweza usieleweke ndio uje ueleweke na raia milioni zaidi ya 60.

Tuendelee kukosoa lakini pale pakupongeza pia tupongeze.niwatakieni jumatano njema.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU UBARIKI UMOJA WETU

..kuna mambo mema yamefanywa na Mama Samia na serikali na chama chake.

..tatizo ni kwamba hayatoshi na hayahalalishi Mama Samia kuchaguliwa mwaka 2025.

..kwa kifupi, uwezo na ushawishi wa Mama Samia ni mdogo. Hawezi kutuongoza kufikia malengo na matarajio ya wengi.
 
Hebu tuwe wakweli ndugu zangu watanzania, ni kweli hakuna jema linalofanywa na Serikali yetu? Mbona asilimia kubwa humu tunapenda kulaumu sana.

Sijasema viongozi wetu ni malaika hapana, lakini ni kweli hakuna wanachofanya? Ni kweli wanauza nchi?

Kuongoza nchi sio kama kuongoza familia. Kwenye familia ya mke na watoto wawili tu baba unaweza usieleweke ndio uje ueleweke na raia milioni zaidi ya 60.

Tuendelee kukosoa lakini pale pakupongeza pia tupongeze.niwatakieni jumatano njema.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU UBARIKI UMOJA WETU
Hz akili hz, kwa, hapa bongo, mabaya ni mengi kuliko mazuri, kwa, u maskini uliopo bongo, utakuwa na kichaa kuishukuru serikali, kama unaisifia bongo kwa kukopa na kujenga reli, unatakq wananchi kama wa Japan, Korea, ambao vijana wao wana maisha mazuri kwa sabwbu ya Sera Bora zilizowekwa, na serikali zao, wao, si, utataka wailqmbe miguu ya serikali?
Cha pili chochote wanachofanya serikali, sio, hisani,ni wajibu wao, tunawalipa mishahara
 
Back
Top Bottom