ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,750
- 1,864
We neng'eneka tu utabaki vizaLet's see.
Unasema jiwe lina uhai. Huwezi kuthibitisha.
Unasema Mungu yupo.Huwezi kuthibitisha.
Umekubali Jesca Magufuli ni rais wa Tanzania. Huwezi kuthibitisha.
Unaweza kuthibitisha roho ipo na si uongo mwingine tu?
Mtafute Mshana ndio anajua majibu ya roho mimi sijui