Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Unaamini contradiction za Mungu.

Siwezi kushangaa ukilazimisha ujinga uwe ujanja.
Hata siku moja baba hawezi vumilia ujinga wa kijana wake

Lakini Babu kwake ni tofauti yeye hufurahia yote

Tena na kusema heri mapito ya mjukuu wangu kuliko upepo Ajilishao Mwanangu
 
Hata siku moja baba hawezi vumilia ujinga wa kijana wake

Lakini Babu kwake ni tofauti yeye hufurahia yote

Tena na kusema heri mapito ya mjukuu wangu kuliko upepo Ajilishao Mwanangu
That is neither here, nor there.
 
siku moja watu watakumbuka
mapinduzi yalianzia jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…