Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Hujajibu.

Umesema habari za free will.

Nikakuonesha free will ni uongo.

Free will ni uongo.

Soma hapa kama u aelewa hii lugha.

Is Free Will an Illusion?


Kaka nimeshakujibu,na sirudii tena kujibu sababu unanirudisha nyuma makusudi. Hapa nakupa ziada tu,suala la mipaka na ukomo ungekuwa unatumia akiliyako vizuri kutafakari mambo ungeona vizuri.

Embu jaribu kwanza kufikiri kuhusu MACHO ? Je unajua mipaka na ukomo wa macho ?

Uwe una jibu hoja ili nisiwe nakuacha katika kuunganisha maana na kuelewa hoja zangu.
 
Jiwe ni kiumbe hai?

Unang'ang'ania hili bila aibu?


Kaka unatambuaje kama hiki ni kiumbe hai au sio hai ? Hili swali unalikwepa sana.

Toa jibu,mimi kazi yangu nilishaimaliza zamani hapa nachofanya muda huu ni kujazia jazia tu.
 
Kaka unatambuaje kama hiki ni kiumbe hai au sio hai ? Hili swali unalikwepa sana.

Toa jibu,mimi kazi yangu nilishaimaliza zamani hapa nachofanya muda huu ni kujazia jazia tu.
Hao watoto wachanga wanaofariki katika tsunami, tsunami ambayo umesema ni adhabu ya Allah, huwa wanaadhibiwa kwa kosa gani wakati hawajui tofauti ya jema na baya?
 
Hao watoto wachanga wanaofariki katika tsunami, tsunami ambayo umesema ni adhabu ya Allah, huwa wanaadhibiwa kwa kosa gani wakati hawajui tofauti ya jema na baya?

Kazi imeisha kaka,unachofanya wewe muda huu ni ubabaishaji na kurudia maneno.
 
Kazi imeisha kaka,unachofanya wewe muda huu ni ubabaishaji na kurudia maneno.
Kazi imesiha wakati hujajibu swali?

Hao watoto wachanga wanaofariki katika tsunami, tsunami ambayo umesema ni adhabu ya Allah, huwa wanaadhibiwa kwa kosa gani wakati hawajui tofauti ya jema na baya?
 
Screenshot_2018-06-03-17-55-47.png
 
Unatofautisha vp kati ya uchawi na kuomba mizimwi? uchawi ni nini kwani au iwe tofauti na mambo ya mizimwi?

Halafu kinachokufanya useme hizo ndio dini za kweli ni kipi? we unajua hizo imani kuomba mizimwi zimeanzaje?

Kuomba mizimwi ni imani tu kama ambavyo leo mtu anaenda kwa mganga,sasa usichanganye hayo na dini na ndiyo maana kuna watu wana dini ila pia wana imani za mizimwi na kwenda kwa waganga.


Usiwe mwehu kijana, waarab na wazungu ndiyo walitudanganya kuwa kuomba mizimu yetu ni dhambi huku wakiwa na agenda ya kueneza dini zao zisizo na faida kwetu. Kumbuka dini si Mungu na Mungu si dini, dini ni imani tu ambayo sie waafrika tulikuwa nayo toka enzi na enzi kabla ya ujio wa waarab na wazungu. Nimesema hizi dini za ukweli kwa sababu sie tulianza kuabudu mizimu yetu na tukawa tunafanikiwa kwa mambo yetu, baada ya kuletewa hizi dini za maboti na kutupilia mbali imani zetu ndipo tukaanza kupatwa na haya majanga yasiyoisha. Mizimwi si uchawi, unapo omba mizimwi unaomba kwa Mungu kupitia malaika wake kama wafanyavyo waislam na wakristo….wanaomba kupitia Mohammad na Yesu na ndivyo tulivyokuwa tunafanya sie enzi hizo. Uchawi ni ushetani ambao unahusiana na marogo ya kutesa wenzako, kuua, kufunga riziki, na maradhi mengine ya kuyumbisha mwanadamu. Si unajuwa hata Uarabuni na Ulaya pia kuna uchawi na wana dini zao? Soma historia yako uijuwe vizuri na kujivunia usipende kuambiwa tu na kukariri vitu vya watu visivyo na faida kwako. Waafrika tumerubuniwa sana na bado tunachezwa shere kwa kujitakia.
 
Usiwe mwehu kijana, waarab na wazungu ndiyo walitudanganya kuwa kuomba mizimu yetu ni dhambi huku wakiwa na agenda ya kueneza dini zao zisizo na faida kwetu. Kumbuka dini si Mungu na Mungu si dini, dini ni imani tu ambayo sie waafrika tulikuwa nayo toka enzi na enzi kabla ya ujio wa waarab na wazungu. Nimesema hizi dini za ukweli kwa sababu sie tulianza kuabudu mizimu yetu na tukawa tunafanikiwa kwa mambo yetu, baada ya kuletewa hizi dini za maboti na kutupilia mbali imani zetu ndipo tukaanza kupatwa na haya majanga yasiyoisha. Mizimwi si uchawi, unapo omba mizimwi unaomba kwa Mungu kupitia malaika wake kama wafanyavyo waislam na wakristo….wanaomba kupitia Mohammad na Yesu na ndivyo tulivyokuwa tunafanya sie enzi hizo. Uchawi ni ushetani ambao unahusiana na marogo ya kutesa wenzako, kuua, kufunga riziki, na maradhi mengine ya kuyumbisha mwanadamu. Si unajuwa hata Uarabuni na Ulaya pia kuna uchawi na wana dini zao? Soma historia yako uijuwe vizuri na kujivunia usipende kuambiwa tu na kukariri vitu vya watu visivyo na faida kwako. Waafrika tumerubuniwa sana na bado tunachezwa shere kwa kujitakia.
Asante
 
Fafanua hii, kwa ushahidi utufungue macho


Kuna vitabu vingi tu na maandiko (periodicals) kuhusu maisha na historia ya Mohammad vinavyo elezea matendo yake. Nadhani unafahamu kuwa Mohammad alikuwa na wake 7 na mmoja kati ya wake zake alikuwa ni mtoto wa miaka 6. Sasa jiulize, yeye Mohammad alikuwa na miaka 52 kaoa katoto ka miaka 6, kwa akili yako, unafikiri huyu mtoto alikomaa njia zake za uke? Pia Kumbuka, Mohammad alikuwa anaoa wake wote hawa only for sexual gratification si kimapenzi. Mohammad alikuwa mtu wa matatizo sana, kuua kwake ilikuwa si shida, na alikuwa anaua kisha anabaka wake za watu. Waislam hawataki tu kujuwa ukweli kuhusu maisha ya Mohammad, ila habari zake kwa yeyote anayetaka kujuwa ukweli zinapatikana kwenye vitabu na mitandaoni na wala si propaganda kwani hata Hadith na Qu'ran tukufu wameandika wasifu wake pia. Soma baadhi ya hii mistari ya Qu'ran hapa chini.

Muhammad's Slave Women and Qur'an 33:50
This practice of raping war captives was practiced by Islam’s very own prophet Muhammad, in his life. On two occasions, he married (for the sake of sexual gratification only) war captives and raped them. Those victims were namely Safiyah and Juwairiyah.

In Qur'an verse 33:50, Muhammad has the green light to have sexual relations with those captive women who Allah has given him (as war booty, according to the tafsirs):

O Prophet! Lo! We have made lawful unto thee thy wives unto whom thou hast paid their dowries, and those whom thy right hand possesseth of those whom Allah hath given thee as spoils of war, and the daughters of thine uncle on the father's side and the daughters of thine aunts on the father's side, and the daughters of thine uncle on the mother's side and the daughters of thine aunts on the mother's side who emigrated with thee, and a believing woman if she give herself unto the Prophet and the Prophet desire to ask her in marriage - a privilege for thee only, not for the (rest of) believers - We are Aware of that which We enjoined upon them concerning their wives and those whom their right hands possess - that thou mayst be free from blame, for Allah is ever Forgiving, Merciful.
Qur'an 33:50


Hivi kweli Mungu anaruhusu ubakaji jamani? Tutumie akili, tusikariri tu vitu.
 
Kazi imesiha wakati hujajibu swali?

Hao watoto wachanga wanaofariki katika tsunami, tsunami ambayo umesema ni adhabu ya Allah, huwa wanaadhibiwa kwa kosa gani wakati hawajui tofauti ya jema na baya?


Tatizo husomi hoja zangu ukazielewa. Soma tena utaelewa mbona majibu nimeshakujibu kaka.
 
Tatizo husomi hoja zangu ukazielewa. Soma tena utaelewa mbona majibu nimeshakujibu kaka.
Nipenamba ya post au nukuu ulipojibu swali la inakuwaje Allah anahukumu watoto wachanga wasiojua jema na baya kwa kifo cha tsunami.

Naomba unipe hiyo post hapa.
 
Kuna vitabu vingi tu na maandiko (periodicals) kuhusu maisha na historia ya Mohammad vinavyo elezea matendo yake. Nadhani unafahamu kuwa Mohammad alikuwa na wake 7 na mmoja kati ya wake zake alikuwa ni mtoto wa miaka 6. Sasa jiulize, yeye Mohammad alikuwa na miaka 52 kaoa katoto ka miaka 6, kwa akili yako, unafikiri huyu mtoto alikomaa njia zake za uke? Pia Kumbuka, Mohammad alikuwa anaoa wake wote hawa only for sexual gratification si kimapenzi. Mohammad alikuwa mtu wa matatizo sana, kuua kwake ilikuwa si shida, na alikuwa anaua kisha anabaka wake za watu. Waislam hawataki tu kujuwa ukweli kuhusu maisha ya Mohammad, ila habari zake kwa yeyote anayetaka kujuwa ukweli zinapatikana kwenye vitabu na mitandaoni na wala si propaganda kwani hata Hadith na Qu'ran tukufu wameandika wasifu wake pia. Soma baadhi ya hii mistari ya Qu'ran hapa chini.

Muhammad's Slave Women and Qur'an 33:50
This practice of raping war captives was practiced by Islam’s very own prophet Muhammad, in his life. On two occasions, he married (for the sake of sexual gratification only) war captives and raped them. Those victims were namely Safiyah and Juwairiyah.

In Qur'an verse 33:50, Muhammad has the green light to have sexual relations with those captive women who Allah has given him (as war booty, according to the tafsirs):

O Prophet! Lo! We have made lawful unto thee thy wives unto whom thou hast paid their dowries, and those whom thy right hand possesseth of those whom Allah hath given thee as spoils of war, and the daughters of thine uncle on the father's side and the daughters of thine aunts on the father's side, and the daughters of thine uncle on the mother's side and the daughters of thine aunts on the mother's side who emigrated with thee, and a believing woman if she give herself unto the Prophet and the Prophet desire to ask her in marriage - a privilege for thee only, not for the (rest of) believers - We are Aware of that which We enjoined upon them concerning their wives and those whom their right hands possess - that thou mayst be free from blame, for Allah is ever Forgiving, Merciful.
Qur'an 33:50


Hivi kweli Mungu anaruhusu ubakaji jamani? Tutumie akili, tusikariri tu vitu.
umetufungua sana macho, tutafuatilia
 
Back
Top Bottom