dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Tokea lini masikini akafilisiwa?Kwanini Magufuli apewe nishani huku akighubikwa na kashfa nyingi za unyama na kupora pesa za watu na kuwafirisi , tunataka kumdanganya nani ?
Serikali ya CCM ni janga la taifaKwa mbali Sana nimeona waliotunukiwa nishani leo na Rais Samia Ila ajabu hata hakuna mpizani yoyote aliyepewa tuzo hiyo
Ina maan wapinzani hawna mchango wwote ktk kufikiwa kwa muungano huu wa kitapeli wa miaka 60
Nataka kujuwa kigezo Cha kutunikiwa nishani ni nini?
Pia Soma
- Rais Samia atoa Nishani za Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuzindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Hujui kitu wewe , Shut Up !Tokea lini masikini akafilisiwa?
Wewe umefilisiwa nini?Hujui kitu wewe , Shut Up !
Jibu mubasharaka kbsaTokea lini masikini akafilisiwa?