Hivi hakunaga mipaka eeeh?

Hivi hakunaga mipaka eeeh?

Shindano la mbio kuwahi kufika ndioa ushindi ila hili la kuunganisha viungo vya uzazi bila hadhari na kuongeza uzao ni kinyume chake.... Kulea ex na mtoto au watoto = mgegedo.... tena hawa hawatong'ozani kwani walishahemka hadi kutoa kiumbe ni kiasi cha kuambia sasa mazingira yanaruhusu?????????????

Hapa kupasha kiporo ni given eeh?!
 
Kuhudumia damu ya mwanaume mwenzangu? Nah..nah! Nitalea wangu tena nitamchukua nimlee mwenyewe, kwanza tabia gani mwanamke azae na wanaume watatu tofauti. Kwangu tayari she's unfit to raise my baby.
 
Kuhudumia damu ya mwanaume mwenzangu? Nah..nah! Nitalea wangu tena nitamchukua nimlee mwenyewe, kwanza tabia gani mwanamke azae na wanaume watatu tofauti. Kwangu tayari she's unfit to raise my baby.

Hapa umenena ukweli mtupu sio wengine wanazunguka kwenye bush tu.
 
Kuhudumia damu ya mwanaume mwenzangu? Nah..nah! Nitalea wangu tena nitamchukua nimlee mwenyewe, kwanza tabia gani mwanamke azae na wanaume watatu tofauti. Kwangu tayari she's unfit to raise my baby.

Sasa kama mlizaa na ukamuacha asizae tena? Au arudi umpe nyingine? But atleast hata umeona sio sawa
 
Sasa kama mlizaa na ukamuacha asizae tena? Au arudi umpe nyingine? But atleast hata umeona sio sawa
Kila anayempitia anazaa tu? Kwangu ni udhaifu mkubwa tu, amefanya/tumefanya kosa wote, nimetafuta mwingine nikaoa, kwa nini asitulie akaolewa? Kazi ni kutotoa ovyo na kuharibu Familia zingine. Ni upumbavu..trust me!

Kingine, nikiwalea hao watoto kwa kuinyima Familia yangu mahitaji muhimu(kumbuka mirija imeshakatwa na jpm), hao wanaume waliomwaga mbegu na kuotesha wako wapi?

Kila mtu abebe mzigo wake, ndio maisha ya sasa...
 
Hapa kupasha kiporo ni given eeh?!
Ila ex ni changamoto sana kwenye ndoa hasa kama kuna kiumbe ni dhahiri shairi unaweza fanya kazi ya ulinzi bila kujijua... Namuunga mkono yule aliyetaka kubeba mtoto na origin yake japo outcome za baadae tumwachie mungu muumba na muweza wa vyote.
 
Kila anayempitia anazaa tu? Kwangu ni udhaifu mkubwa tu, amefanya/tumefanya kosa wote, nimetafuta mwingine nikaoa, kwa nini asitulie akaolewa? Kazi ni kutotoa ovyo na kuharibu Familia zingine. Ni upumbavu..trust me!

Kingine, nikiwalea hao watoto kwa kuinyima Familia yangu mahitaji muhimu(kumbuka mirija imeshakatwa na jpm), hao wanaume waliomwaga mbegu na kuotesha wako wapi?

Kila mtu abebe mzigo wake, ndio maisha ya sasa...

Kama we umeweza kuzaa nae na ukamuacha, hata mwingine inaweza kuwa vile vile,ukizingatia ndoa nyingi za sasa ni "kilimo kwanza" Kama hamjazaa basi bi harusi mjamzito..... Ila huyo mdada hao watoto wawili ni wa baba mmoja
 
Eeh My kaka kwani hapo nimesimulia. Naona tu uvivu kuandika gazeti hapa. Sio gubu lile + umalaya. Yani ningekuwa mtu wa negativity, ile ndoa ingenidiscourage kuolewa milele. Imagine hata tukienda kwa watumishi kuombewa; karibu wote wanamwambia " dada sioni kama una ndoa, kwa sababu naona tu makelele kwenye nyumba yenu". Ntasimulia tu Vizuri siku moja

Hapo kweli aunt yako analo!!
Sawa sista ukipata muda we nisimulie tu hata kule chemba kama unaona soo hapa
 
Hapo kweli aunt yako analo!!
Sawa sista ukipata muda we nisimulie tu hata kule chemba kama unaona soo hapa

Aah my kaka me na wewe tena, ngoja nitune kwenye mood ya kuandika gazeti
 
Hii biashara siyo rahisi kihivyo. Nina mifano ya watu kibao ambao imewatokea ila mtu unaishia kuwaonea huruma tu!

Mambo ya ngono hayana giniasi na hawara hapigiwi misele...unaangusa tu!!

cc Asprin
 
Last edited by a moderator:
Mitihani mingine hii itupishage tu mbali jamani.Hivi unaanzaje kumnunulia ex vitu vyote hivyo,hadi friji?the worse part ni hiyo ya kulea hao watoto wa mwanaume mwenzake.

Ningekua mi mwanaume, kwanza ningemchukua mwanangu, kama ingeshindikana ningenunua tu nguo au mahitaji ya mwanangu. Afu namwambia huyo mwanamke azitunze kwanza awanunulie na wanae ndo awape kwa pamoja ili wajione wako sawa.
 
Kuhudumia damu ya mwanaume mwenzangu? Nah..nah! Nitalea wangu tena nitamchukua nimlee mwenyewe, kwanza tabia gani mwanamke azae na wanaume watatu tofauti. Kwangu tayari she's unfit to raise my baby.

Wacha we!!!
 
Hii issue ni complicated ndio maana kuepuka hizi complication watu wanaamua hawataoa/hawataolewa na mtu mwenye mtoto.

Acha hizo bwana, mbona mie nina mtoto alafu nakupigia mahesabu?
 
Back
Top Bottom