Uzee tena? Usiniambie unaaprochi menopause...
Lakini umri huo ndio utaisikia dydyu kwa ubongo...
Heheheh sasa jidanganye ukazae na huyo mpare utegemee hata kama ataleta bilinganya kwa mwanae. Utapauka shoga angu kama una undugu na chokaa, shaurilo
Huna lolote, nani asiyekuwa na shida na dyudyu...muulize Heaven Sent atakuambia linavyompa shida akilikosaMonopese ndugu yangu inabisha hodi.
Mie sina shida na dyudyu bwana, ninashida na mtoto.
Huna lolote, nani asiyekuwa na shida na dyudyu...muulize Heaven Sent atakuambia linavyompa shida akilikosa
Heee wewe si umesema shida yako mtoto tu? Kama mtoto umempata tu, sio kwa uhandsome wa brod darlin + ile height mwaaaUwiiiii Eli79 nimeghairi, mie nikajua nilikuwa napigia mahesabu ya friji.
Shauri zake, muache azuge tu. Mwenzie nalifanyia balance diet. Chezea kuwa na mume wako wa halali, ni full BBC na Al jazeeraHuna lolote, nani asiyekuwa na shida na dyudyu...muulize Heaven Sent atakuambia linavyompa shida akilikosa
Hahahaaaaa....na busara zako zote, when it comes to dyudyu huna busara. Usipopewa stahiki yako...BBC unang'aka!!!Heee wewe si umesema shida yako mtoto tu? Kama mtoto umempata tu, sio kwa uhandsome wa brod darlin + ile height mwaaa
Shauri zake, muache azuge tu. Mwenzie nalifanyia balance diet. Chezea kuwa na mume wako wa halali, ni full BBC na Al jazeera
Hahahaaaaa....na busara zako zote, when it comes to dyudyu huna busara. Usipopewa stahiki yako...BBC unang'aka!!!
Hujambo my kaka?
Hii biashara siyo rahisi kihivyo. Nina mifano ya watu kibao ambao imewatokea ila mtu unaishia kuwaonea huruma tu!
Mambo ya ngono hayana giniasi na hawara hapigiwi misele...unaangusa tu!!
cc Asprin
Kubana hapo sahau mama, ukitaka kuwa safe kwenye hili olewa na asie na mtoto baaas
Huyu binti yetu Evelyn Salt sio kwamba hajui. Kaamua tu kujitoa ufahamu.
BTW umepona na furiko la Tanga??
Aiseee basi mie Nina gundu maana kila anonisemesha tayari ana mmoja au wawili
Wala sio gundu, watu wasio na watoto kabla ya kuoa sahivi wanahesabika, kijana mwenye 25years ana watoto watatu kila mtoto na mama ake na hapo hajaoa bado....
Kuna dem mmoja wa bro angu, walikua wanagandana hao mahaba niue binti kishaoneshwa site wanashauriana wajenge vipi siku bro akivyomwambia ana mtoto ndo ukawa mwsho wa mahaba wakaachana, yule dada aliapa maisha yake hataki kuolewa na mwanaume mwenye mtoto
Aiseee basi mie Nina gundu maana kila anonisemesha tayari ana mmoja au wawili
Una nyota ya mama wa kambo!