Hivi Halotel mna shida gani?

Hivi Halotel mna shida gani?

Halotel net yao haipo stable kwenye maeneo mengi sana

Kuna muda unaweza kutamani kuipasua simu
Ila kuna muda wanakimbiza hadi raha
Haitulii kwenye H+,yenyewe muda mwingi ni E,H,na 3G
 
Kama kutopatikana sehemu na sehemu unaita ni udhaifu basi mitandao yote ni dhaifu maana mitandao uliyoisifia kuna baadhi ya sehemu nako haipatikani mkuu mfano hao TTCL.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Sehemu nilipo Airtel,na Voda zinafanya vizuri kasoro HALO ndio maana naiita dhaifu na tena hapa nipo sio interior
 
ukienda singida wilaya ya ikungi kijiji cha mpetu mtandao wa halotel haushiki kabsa yaani hata kupiga simu na kupokea sms mpaka upande juu ya mti
Ninaweza kusema mtandao unaoaminika zaidi ni VODA pengine Airtel ndio wanafuatia
 
Yaan tangu nimehama Tigo unaenda mwaka sasa sijajuta kuhamia HALOTEL na hata kipindi cha cha uchaguzi internet kusumbua HALOTEL ndo mtandao pekee ulikuwa unajitahidi

Naungama na nyinyi simu yake inatatizo ama sehemu uliopo NETWORK COVERAGE ya HALOTEL haijasambaa akumbuke ukiwa nje ya mji sio mitandao yote utapata huduma iwe VODA TIGO TTCL Au ZANTEL haijasambaa kila eneo sehemu za nje ya mji unaweza ukapata mwingne vizuri mwingne ukasumbua ndio ilivyo
We jamaa simu yaani simu yangu iwe na matatizo kwenye Halotel tu?,airtel na voda mbona fresh tu
 
Natumia halotel and sijawah kuexperience tatizo la internet
Unatumia loyal bundle?
 
Halotel kwangu wako poa sana, waliwahi kunijibu ukiona network iko chini ujue watumiaji ni wengi mno eneo hilo kwa wakati huo, na ushauri badili line yako iwe4G ili ukimbizane na wenzako wa 4G
3g yao inazngua sana
 
Halotel 3G ilikua fresh sana < 2019 maeneo yangu Hapa sema saivi nahisi imekua overwhelmed maana kila mtu kahamia HUKU hata saa 7 usiku mtandao mbovu tu hata youtube Qualty 360 inafeli.

Nikitaka kuinjoi kidunchu mpaka niwashe 4G lakn 3G Airtel inamuacha mbaya na ni town 100%. Then Ukiwasha 4G kama una bundle ya Gb 3 kushuka chini Utalia na kusaga meno AISEE.
 
halotel wanasumbua upande wa 3g tuuu ila upande wa 4g hawafaiiii kabisaaa
 
Wee uko pori gani,mi niko huku machokoroni
Haloteli speed test muda huu[emoji116]
Screenshot_20201116-223009_Chrome.jpg
 
Haitulii kwenye H+,yenyewe muda mwingi ni E,H,na 3G
Mkuu hata yang ina shida hiyo haitulii kabisa. Tena kuna wakati inaondoka kabisa huku data ikiwa wazi.
Pia kuna wakati hata nikiongea na mtu simu huwa inakata kata cjui shida ni simu. Maana hii simu ilikuwa anatumia rafki yangu raia wa ujerumani katoa laini ya kwao ndio akanipa mimi.

Wajuzi zaidi hebu tuwekeni sawa.
 
Mkuu hata yang ina shida hiyo haitulii kabisa. Tena kuna wakati inaondoka kabisa huku data ikiwa wazi.
Pia kuna wakati hata nikiongea na mtu simu huwa inakata kata cjui shida ni simu. Maana hii simu ilikuwa anatumia rafki yangu raia wa ujerumani katoa laini ya kwao ndio akanipa mimi.

Wajuzi zaidi hebu tuwekeni sawa.
Mara ya kwanza kwako ilikuwa fresh?,kwangu zamani ilikuwa fresh shinda imeanza takribani miezi 2 iliyopita
 
Back
Top Bottom