Mkuu ukienda ethiopia kuna mji unaitwa Awassa uko km kama 400 kutoka addis ..wapo wa njaa hizo!Kama lipo naomba kujulishwa ni jiji gani hilo!
Kwani kazi ni nini? Hata kupiga kizinga ni kazi kama inamwingizia kipato. Kwani kazi lazima ukalime kama anavyosema mkuu wa boma?Mabingwa wa vizinga kazi hawataki
Wewe sema huna hela tu, ati wenye njaa. Women is the best thing dunia imepewa, lazima tuwaheshimu, tuwadhamini, tuwatunze... Shida mnatafuta kiki, nnaazima mpaka cape, viatu, kubwa zima mpaka simu... Mkiambiwa pesa Oooooh matako yalia mbwata mbwata!!!Kama lipo naomba kujulishwa ni jiji gani hilo!
Escape one í ½í¸Leo ni ijumaa......tukutane wapi tudiskasi hii mata.........
No research no right to speak. Over.Kama lipo naomba kujulishwa ni jiji gani hilo!
Aisee tunashukuru,lakini mbona umefunguka hivyo?Wewe sema huna hela tu, ati wenye njaa. Women is the best thing dunia imepewa, lazima tuwaheshimu, tuwadhamini, tuwatunze... Shida mnatafuta kiki, nnaazima mpaka cape, viatu, kubwa zima mpaka simu... Mkiambiwa pesa Oooooh matako yalia mbwata mbwata!!!
Mkuu hii avatar yako ni kiboko....Hilo ni jengo la baa au jengo la nn?haaaaaaaa Wana njaa balaaa
Nawapenda akina mama sana!Aisee tunashukuru,lakini mbona umefunguka hivyo?
kiukweli Dar ni balaa kwa mabinti wenye njaa. Halafu vijana mnaonga hadi million unajisifia utapendwa sio kwa mabinti wa Dar. Acheni kuonga mitaji jamani ndio maana mnalalamika huku.Aisee! Wanazidi wa Nairobi...???
Acha uongo wewe.wasichana wa mogadishu wanajiheshimu mno.Mogadishu