hivi hapa JF...wakaka

nimekukubali kaka manake shavu dodo...l.o.l

Halafu hapo nilikuwa SA for real, sina 6 paket hata kidogo ingawaje nipo flat, nikiona katumbo kananivizia napiga zoezi la tumbo
 
Jaman mwanaume hasifiwi kwa umbo wala sura.mwanaume mashine tena ikoboe na kusaga kabisa hata kam mwanaume huyo ni kijiti kwa wembamba kama the finest .hvyo vifua ni upepo tu,akipata pancha hatamaniki huyo.bora hata mwenye kitambi na nyama za bia anaweza kukupa faraja za burudani kitandani maana mashine yake haiwez ishiwa upepo km hao.
 

duh first lady
sijawahi kukusikia ukiwa more open
na maneno ya uwazi hivi....

Leo nimekuona kwenye another light....a different one...
 

:whistle:
 
duh first lady
sijawahi kukusikia ukiwa more open
na maneno ya uwazi hivi....

Leo nimekuona kwenye another light....a different one...

nisome vizuri kwnye post zangu mara zote niko open.labda unachanganya na firstlady 1.
 
Mh haya sie tunaopenda vimbaumbau tutajiju kwenye hii thread
 
Loh! Nimecheka mpaka basi yaani we mwanamke balaa tupu
 

Pauline.....hebu njoo huku tujadili haya mambo ya ukaguzi.

Wakaguzi ni lazima tuwe na sera moja. Babu mkaguzi nina katiba ya ukaguzi.

Lakini kabla hujaja hakikisha ule mgomo wako wa kukata mauno umeusitisha.

Kamwe huwezi kagua,
mauno ukibania,
Hautakuwa na nia,
kwa babu kujiungia

Utapata tabu sana, na kaziyo hitafana!:clap2::clap2::clap2:
 
yeah! nimesikia kumbe na wewe uko ka mimi!....l.o.l
Hahaha ili mradi amesema mwenyewe mashine iwe inajua kusaga na kukoboa hilo ndio jambo la msingi, hizo nyama hata kwenye sambusa zipo
 

Except weupe....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…