Lipi hilo??
:laugh::laugh::laugh::laugh: Hivi umeishamuona mtu anayeitwa hashycool???Hiyo signature yako inaniambia kitu,tumia dawa tu ndo maisha!
:laugh::laugh::laugh::laugh: Hivi umeishamuona mtu anayeitwa hashycool???
:laugh::laugh::laugh::laugh: Hivi umeishamuona mtu anayeitwa hashycool???
Kaka naona ndio unarudi ulikuwa GUEST gani? Au ulikuwa umeenda kutengeneza muscles l.o.lkaka naona unanipaisha...l.o.l
Usijali.Ndo nani tena?nahisi kuna kitu unachanganya!kama nakosea niweke sawa!
kaka naona ndio unarudi ulikuwa guest gani? Au ulikuwa umeenda kutengeneza muscles l.o.l
Kumbe kwenye ugonjwa wa MISSING i am not alone.kaka bado michelle anasumbua kichwa missing her ile mbaya
Aisee!! Mbona huyo anaonekana HAMIJEI kabisaView attachment 22562
Nikague mimi, Nakaribisha maombi kwa mdada aliye bomba. Sharti, love ni kwa siku moja tu. Maombi yote kwa PM
Hahaha uporoto banaHash na TF chatroom inafanya kazi acheni kuchafua threads za watu,samahani lakini.
View attachment 22536
yupo aliye fit namna hii????nimeona mahali kuna BABU humu wa kukagua sijui matiti ya wadada kwa ajili ya wapwazzz wa kiume.....jamani mie najitolea kuwa BIBI wa kukagua wakakazzzzzzzzz kwa wadada wa JF....:msela::msela::msela::hungry::hungry:😛eace: