hivi hapa JF...wakaka

hivi hapa JF...wakaka

hebu nieleweshe kaka...
Mie waliexpect less nikawapa zaidi au waliexpect zaidi nimewapa less?.....l.o.l
kwetu mbagala mchafukoga!

kwako wali expect zaidi.
Wewe unawapa less......
Sasa jifanye mnyonge......kwanza....
 
Mambo Pauline si unaona hapo kwenye reply na Reply with Quote kuna box pembeni ? sasa unagusa hapo kwa wote unaotaka kuwa-quote inatokea tick sasa kwa yule wa mwisho hugusi hapo unagusa Reply with qoute zinatoka zote hata kama ziko page tofauti,hebu jaribu nijuwe umeelewa NB: si umeona nilivoshambuliwa kwenye thread yako ya mgomo ? yote nimekubali kwa hiyo 'true smile' yako lol!


Kwahiyo mimi utanikagua mwenyewe sio lol!

hahahaaa kazi ya ukaguzi nimempa pauline bana

huwa sipendi agents.....

pole uporoto,niliona siku ile walivyokuonea.....hapa nafanya testing lol asante kwa somo.
 
Mhhh kiukweli jibaba kajifua kichizi make msuli wa uhakika, ila anaonekana hapo chini ya kitovu katepeta kishenzi uhenda hana lolote zaidi ya misuli. Namaanisha uckute idara nyeti zimekamuliwa na mazoezi imabaki ya ku beep tu.Hhahahahahha:twitch:
 
pole uporoto,niliona siku ile walivyokuonea.....hapa nafanya testing lol asante kwa somo.
Somo la pili, unaweza kumjibu kila mtu baada ya quote yake kwahivyo kila jibu litatoka baada ya quote.
 
Somo la pili, unaweza kumjibu kila mtu baada ya quote yake kwahivyo kila jibu litatoka baada ya quote.

mbona nilifanya hivyo ikaniambie message enterd is too short...ehe embu nielekeze vizuri.
 
mbona nilifanya hivyo ikaniambie message enterd is too short...ehe embu nielekeze vizuri.
Si umeona kuna mabano mwanzo na mwisho lenye neno QUOTE sasa andika baada ya mabano ukiandika ndani unapata hiyo message too short.
 
gotcha on dat!
Mi nilikuwa nadhani akionesha despair ndo anajua unampenda?

it could be her tricky,
womens are full of tricks......

Show her she has to imrove to be with you,get it?
 
so what u' mean is that you have to show her kwamba there are others better than her...

exactly....

If u can do that.....you will never have the problem with women....

It is no one rule,but only if you know the execution...
 
Back
Top Bottom