Hivi Harmonize amejipanga kweli kwa Ibraah Tz?

marioo copy, ilipendeza angekuja na style yake mpya kabisa
Puchu anastyle gani? Lavalava ana style gani? Acha majungu Enjoy mziki mzuri wa bila matusi toka kwa Kijana Ibra tz
 
We unasema kafikia 80%? Kwa taarifa yako amefikia 30% tu kwa hiyo amekurupuka sn

Nadhani amefata ule msemo #IACHE MIMEA NA MAGUGU VIKUE PAMOJA#
 
Uchambuzi uchwara / Endeleeni kupiga ramli mnataka kila msanii awe chini ya babu tale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…