Hivi Harmonize amejipanga kweli kwa Ibraah Tz?

Hivi Harmonize amejipanga kweli kwa Ibraah Tz?

We unasema kafikia 80%? Kwa taarifa yako amefikia 30% tu kwa hiyo amekurupuka sn

Nadhani amefata ule msemo #IACHE MIMEA NA MAGUGU VIKUE PAMOJA#
 
Uchambuzi uchwara / Endeleeni kupiga ramli mnataka kila msanii awe chini ya babu tale
 
Back
Top Bottom