Hivi hatuwezi kucheza upatu hapa JF jamani?

Hivi hatuwezi kucheza upatu hapa JF jamani?

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Hivi hatuwezi kucheza upatu hapa JF jamani, yaani kila siku awe analipwa mtu mmoja hvi, kwa vocha, mpesa, tgopesa nk...coz naona maisha yanazidi kubana,na jk mwenyewe haeleweki
 
Agreed

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
naona mnataka kucheza kombolela ya dinero...
 
Mwe!! Upatu ndiyo mchezo gani tena wajameni?
 
Mie nitakuwa Kijumbe wenu.
Nianze kutoa namba yangu ya simu ili mtume pesa?
 
Mie nitakuwa Kijumbe wenu.
Nianze kutoa namba yangu ya simu ili mtume pesa?

Toa namba dada mi ndo ntakuwa mtunza hazina nitakupendelea kwa kukupa mara mbili katika ya round moja
 
umeniwahi!!!!!!!!!!
na nilihisi tuuuu!!! ila utakufaa ukijumbe!!!!

Hahaha Paloma.
Hv upo kweli mpenzi!
Mie nautaka kweli huo ukijumbe, sijawaingiza chaka watu mda mrefu.

Afu nimeongea na yule mdau mwenzetu, lile sheshe ni April.
Rejea safari ya Mbezi toka kwenye upishi wa mandazi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom