Hivi hatuwezi kucheza upatu hapa JF jamani?

Hahahaaaa...aisee pole kwa upotevu huo, basi ukuje kwa faragha upate vitu vyangu vile vya gegoni...

hahahahhaaaaaa hana neno mehbuba wangu!!! iyo ni ndoto tuuu..........afu nimepotesa kila kitu chako ujue!!! ntakuibukia faraghani!!!

btw mie na sosoliso hata ije machine gani zaidi ya zile za strabag hang'oki mtu!!!:A S-heart-2:
 
Hahahaaaa...aisee pole kwa upotevu huo, basi ukuje kwa faragha upate vitu vyangu vile vya gegoni...


gegone tena..........naogopa utanitafuna! ngoja nimwambie sosoliso anilete!
 
Last edited by a moderator:
Ni wazo zuri sana sema uaminifu hasa wale wenzetu gambas watasepa na mchuzi wote. Watu laki moja wakichanga elfu kumi ni sh. Ni billion.Acha tufanye 1000 tu tuone kama hujapata mil.mia moja

umeona eeh,yaan utajiri njenje
 
Nikikumbuka hela ya miss chitchat hata sina hamu nusu tufarakane na mpaka leo hakijaeleweka!!hamjifunzi tu kutokana na makosa yetu lol.siungi hoja mkono
 
Nikikumbuka hela ya miss chitchat hata sina hamu nusu tufarakane na mpaka leo hakijaeleweka!!hamjifunzi tu kutokana na makosa yetu lol.siungi hoja mkono

ilikuwaje hyo!? Sikuwah kuisikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…