honey ndio nishawashtukia
hawajanipata badoooo!
mi sijambo sijui wewe!
hahahahhaaaaaa hana neno mehbuba wangu!!! iyo ni ndoto tuuu..........afu nimepotesa kila kitu chako ujue!!! ntakuibukia faraghani!!!
btw mie na sosoliso hata ije machine gani zaidi ya zile za strabag hang'oki mtu!!!:A S-heart-2:
Mmwwahh mmwwaaaah!
Hii sentensi ina maana mbili....Sijui nitumie maana ipi hapa....!!
Ni wazo zuri sana sema uaminifu hasa wale wenzetu gambas watasepa na mchuzi wote. Watu laki moja wakichanga elfu kumi ni sh. Ni billion.Acha tufanye 1000 tu tuone kama hujapata mil.mia moja
umeona eeh,yaan utajiri njenje
Nikikumbuka hela ya miss chitchat hata sina hamu nusu tufarakane na mpaka leo hakijaeleweka!!hamjifunzi tu kutokana na makosa yetu lol.siungi hoja mkono
Wa kwanz mmMi nataka ndo nianze kukusanya mwanzoni
tigo nipe mm hao wanatumia TTCL