KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Rais Buhari alipoingia madarakani alifanya baadhi ya maboresho kwenye uongozi na moja ya mabadiliko aliyofanya ni kujiteua kama waziri wa nishati wa Taifa hilo lenye uchumi mkubwa zaidi barani Afrika. Lengo kubwa ni kuhakikisha usimamizi unakuwa mkubwa katika sekta hiyo kubwa kwenye uchumi wa Nigeria.
Nawaza kwa sauti baada ya kutafakari, kuwaza na kuwazua nimeona ni Jambo zuri kufanywa hata hapa nyumbani lakini kwa Tanzania badala ya Rais kujiteua basi amteue Makamu wa Rais kwenye Uwazir na chini yake ateuliwe Naibu waziri ambaye atakuwa mtendaji.
Kwanini Makamu wa Rais? Nafasi ya Umakamu wa Rais inasemwa sana Kama ni 'Ceremonial' hivyo itafaa akiteuliwa Waziri wa Wizara nyeti yenye kuhusisha mipango na mikakati ya muda mrefu.
Nimemuangalia Dkt. Mpango katika mpango huu, angetusaidia sana kwenye wizara ya Fedha na Mipango.
Nawaza kwa sauti baada ya kutafakari, kuwaza na kuwazua nimeona ni Jambo zuri kufanywa hata hapa nyumbani lakini kwa Tanzania badala ya Rais kujiteua basi amteue Makamu wa Rais kwenye Uwazir na chini yake ateuliwe Naibu waziri ambaye atakuwa mtendaji.
Kwanini Makamu wa Rais? Nafasi ya Umakamu wa Rais inasemwa sana Kama ni 'Ceremonial' hivyo itafaa akiteuliwa Waziri wa Wizara nyeti yenye kuhusisha mipango na mikakati ya muda mrefu.
Nimemuangalia Dkt. Mpango katika mpango huu, angetusaidia sana kwenye wizara ya Fedha na Mipango.