mwakapalila
New Member
- Dec 16, 2012
- 4
- 0
yapata mwezi sasa tangu wanafunzi walokua hawana mkopo na kukubaliwa kupewa mkopo walipo ambiwa wapeleke acount number zao mpaka leo hawaja pewa pesa zao na maisha yamekua magumu kwao, sasa tunashndwa kuelewa tatizo ni nini? hizo pesa zmekwamia wapi?