Morning Glory1
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 237
- 381
Wewe ni kocha umesomea taaluma yako ya ukocha na ukapewa leseni ya ukocha unawezaje kupangiwa kikosi na kiongozi wa timu ambae hana uelewa wowote na taaluma ya coaching?!...
Ifikie hatua haya malalamiko ya makocha kupangiwa timu na viongozi yafike mwisho
Wewe ni kocha ukiona kiongozi anakupangia kikosi ni bora ujiuzulu muachie yeye timu afundishe halafu njoo kwa wadau wa soka tuambie nimejiuzulu ukocha wa timu A au B kwasababu kiongozi wa timu alitaka kunipangia kikosi na mimi kwa kuheshimu taaluma yangu ya ukocha nimekataa hapo ndipo wadau wa mpira tutakuelewa.
lakini sio unakubali kupangiwa kikosi kama popoma na unakubali kusimama kabisa kwenye touchline na unatoa maeleko kwa dk90 halafu timu yako inapokula bao tano ndio unatoka mbele za wadau wa soka na malalamiko kua timu yangu imepoteza mechi kwasababu nimepangiwa kikosi na kiongozi flani...wewe unakua ni kocha mburura wa mwisho na wala haukustahili kua kocha...wewe ni sawa na kilaza na hata hiyo leseni ya ukocha ulipaswa unyanganywe
Kuendekeza njaa nje ya taaluma yako kwa kuogopa kufutwa kazi ni udhaifu mkubwa sana..makocha wa nbc badirikeni tumechoka na hizi drama next time tutawapiga mawe
Note:
Kuna tetesi zinaenezwa na mbumbumbu wasiojua mpira kua kocha wa singida David Ouma na kocha wa Mashujaa Mohamed Abdallah "Baress"(Alievunjiwa mkataba) walipangiwa vikosi vyao dhidi ya "mabingwa wa nchi" yanga na ndomana walipokea kipigo cha mbwa koko kwahy kuna dalili za upangaji wa matokeo.
Ifikie hatua haya malalamiko ya makocha kupangiwa timu na viongozi yafike mwisho
Wewe ni kocha ukiona kiongozi anakupangia kikosi ni bora ujiuzulu muachie yeye timu afundishe halafu njoo kwa wadau wa soka tuambie nimejiuzulu ukocha wa timu A au B kwasababu kiongozi wa timu alitaka kunipangia kikosi na mimi kwa kuheshimu taaluma yangu ya ukocha nimekataa hapo ndipo wadau wa mpira tutakuelewa.
lakini sio unakubali kupangiwa kikosi kama popoma na unakubali kusimama kabisa kwenye touchline na unatoa maeleko kwa dk90 halafu timu yako inapokula bao tano ndio unatoka mbele za wadau wa soka na malalamiko kua timu yangu imepoteza mechi kwasababu nimepangiwa kikosi na kiongozi flani...wewe unakua ni kocha mburura wa mwisho na wala haukustahili kua kocha...wewe ni sawa na kilaza na hata hiyo leseni ya ukocha ulipaswa unyanganywe
Kuendekeza njaa nje ya taaluma yako kwa kuogopa kufutwa kazi ni udhaifu mkubwa sana..makocha wa nbc badirikeni tumechoka na hizi drama next time tutawapiga mawe
Note:
Kuna tetesi zinaenezwa na mbumbumbu wasiojua mpira kua kocha wa singida David Ouma na kocha wa Mashujaa Mohamed Abdallah "Baress"(Alievunjiwa mkataba) walipangiwa vikosi vyao dhidi ya "mabingwa wa nchi" yanga na ndomana walipokea kipigo cha mbwa koko kwahy kuna dalili za upangaji wa matokeo.