mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
sio mbenzi nguli wa soka hasa la hapa kwetu...
miaka ya zamani ilikuwa ni ndoto kuona mzungu akifundisha hadi timu za shinyanga au singida.
Kwa maendeleo ya soka na utandawazi hawa jamaa wapo kila kona nchini.
je kwa nini pamoja na uwepo wa wataalamu hawa bado soka limedumaa.?
miaka ya zamani ilikuwa ni ndoto kuona mzungu akifundisha hadi timu za shinyanga au singida.
Kwa maendeleo ya soka na utandawazi hawa jamaa wapo kila kona nchini.
je kwa nini pamoja na uwepo wa wataalamu hawa bado soka limedumaa.?