Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Ni mambo ya ajabu kweli. Hawa waamuzi ni wa kiwango Cha chini sana, tena hawana ushawishi kabisa. Carrier ya waamuzi Kwa hapa nchini ni kizungumkuti.
.............
Mwamuzi wa mechi ya leo kati ya Simba SC na Yanga ameboronga sana kimaamuzi. Katoa kadi bila kushirikisha kichwa halafu sehemu za kutoa maamuzi ya kadi akafumba macho. Huyu ndiye tuliambiwa ni mwamuzi mwenye ueledi. Khaaaa! Tanzania inaweza kuwa nchi ya ajabu sana, endapo wapuuzi Kama hawa wataendelea kuangaliwa tu wakiharibu mchezo wa soka hapa nchini
.............
Mwamuzi wa mechi ya leo kati ya Simba SC na Yanga ameboronga sana kimaamuzi. Katoa kadi bila kushirikisha kichwa halafu sehemu za kutoa maamuzi ya kadi akafumba macho. Huyu ndiye tuliambiwa ni mwamuzi mwenye ueledi. Khaaaa! Tanzania inaweza kuwa nchi ya ajabu sana, endapo wapuuzi Kama hawa wataendelea kuangaliwa tu wakiharibu mchezo wa soka hapa nchini