Hivi hawa marefari kwenye NBC league Huwa wanatolewa wapi?

Hivi hawa marefari kwenye NBC league Huwa wanatolewa wapi?

Ni mambo ya ajabu kweli. Hawa waamuzi ni wa kiwango Cha chini sana, tena hawana ushawishi kabisa. Carrier ya waamuzi Kwa hapa nchini ni kizungumkuti.

.............
Mwamuzi wa mechi ya leo kati ya Simba SC na Yanga ameboronga sana kimaamuzi. Katoa kadi bila kushirikisha kichwa halafu sehemu za kutoa maamuzi ya kadi akafumba macho. Huyu ndiye tuliambiwa ni mwamuzi mwenye ueledi. Khaaaa! Tanzania inaweza kuwa nchi ya ajabu sana, endapo wapuuzi Kama hawa wataendelea kuangaliwa tu wakiharibu mchezo wa soka hapa nchini
Kayoko katumia ujanja wa Corilina mechi za watani wa jadi unabidi refa uzitawale na njia mojawapo ya kutawala mchezo ni kumwaga njugu mapema ili kupunguza mazoea kwa wachezaji.....

Kwangu nampongeza sana kayoko
 
Tunategemea kamati ya massa sabini nambili bila kuchelewa itamwazibu Chama Kwa kitendo chake Cha kumkanyaga Aucho Kwa maksudi bila refa kutoa adhabu yoyote.
 
Refa jana wachezaji wa timu zote mbili walikuwa wanamuhadaa sana kwenye faulo mchezaji akianguka jamaa anaweka faulo
 
Back
Top Bottom