Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Kama ni hivyo kusingekuwa na magereza.refa nae binadam sheikh ungeshind ungeandika yote aya
magereza ya nini Sheikh nyookaKama ni hivyo kusingekuwa na magereza.
Kama ubinadamu Ungekuwa excuse basi magereza yasingekuwepo.. Refa ni binadamu ndiyo but anapaswa kutimiza majukumu yake Kwa ueledi na akizingua Sheria imuonye.magereza ya nini Sheikh nyooka
kwani refa ww unaona kazingua nn leoKama ubinadamu Ungekuwa excuse basi magereza yasingekuwepo.. Refa ni binadamu ndiyo but anapaswa kutimiza majukumu yake Kwa ueledi na akizingua Sheria imuonye.
Chief! Refarii kashindwa kabisa kuumudu mchezo. Kwa mfano Ile rough ya Faisal kumvuta mchezaji akiwa kwenye movement plan ilitakiwa ale umeme.kwani refa ww unaona kazingua nn leo
Umeanza vizuri lakini bila kuisema foul ya Chama dhidi ya Aucho ambayo ni advantage ya kutokuwa na VAR nakuona kama umeingia na upande kwenye ligi. Ni sahihi Feisal alitakiwa kutolewa Kwa Kadi ya pili ya njano lakini kabla ya hapo Hakuna neno lingine linaloweza kuwa mbadala wa Red card Kwa kitendo alichofanya Chama Kwa Aucho wakati amelala chini.Chief! Refarii kashindwa kabisa kuumudu mchezo. Kwa mfano Ile rough ya Faisal kumvuta mchezaji akiwa kwenye movement plan ilitakiwa ale umeme.
Umeona kama Mimi refa anataka kuba kubalanceChief! Refarii kashindwa kabisa kuumudu mchezo. Kwa mfano Ile rough ya Faisal kumvuta mchezaji akiwa kwenye movement plan ilitakiwa ale umeme.
Yah refa alitaka kubalance na ile foul ya mkude kama sijakosea.Umeona kama Mimi refa anataka kuba kubalance
Angewapa wote angeachaRefa boya Aucho na feisal na shabani djuma mmoja wao alistahili kadi nyekundu
Ndo maana yanga kimataifa ngumu kutoboa.Refa boya Aucho na feisal na shabani djuma mmoja wao alistahili kadi nyekundu
Kutokuwa na utulivu tu tayari inaashiria ni ubovu, kwann ukose utulivu kwenye mechi?Ndo maana yanga kimataifa ngumu kutoboa.
Mbeleko zinawaponza wanajipa kichwa
Leo wamecheza hovyo kweli. Simba hawakuwa na utulivu huko mbele otherwise tungeongea mengine
.Umeanza vizuri lakini bila kuisema foul ya Chama dhidi ya Aucho ambayo ni advantage ya kutokuwa na VAR nakuona kama umeingia na upande kwenye ligi. Ni sahihi Feisal alitakiwa kutolewa Kwa Kadi ya pili ya njano lakini kabla ya hapo Hakuna neno lingine linaloweza kuwa mbadala wa Red card Kwa kitendo alichofanya Chama Kwa Aucho wakati amelala chini.