mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Ijumaa Kareem!
Matukio ya mauaji ya wamiliki na watoto kutoka kwa mbwa hawa yamekuwa mengi sana. Malalamiko nayo yamekuwa mengi sana kila kona ya dunia hii.
Swali langu ni je, vinasaba vya mbwa hawa ni vya asili kabisa na havijafanyiwa 'cross breeding'?
Kwa sababu kimuonekano wanatisha isivyo kawaida, hasa sura, na miili yao haina manyoya kama ya mbwa tulioawazoea!
Pia vifua vyao ni vipana sana na wanatembea kwa kujitanua mno(kibabe) hali inatozidi kunipa mashaka sana.
Nakumbuka tuliwahi kuwa na mbwa wa aina hii zaidi ya mara mbili nikiwa mdogo kiasi, ila sikujua kama ni pitbull.
Mpaka nilivyoona picha zao na kuoanisha na mbwa tuliowahi kufuga ndipo nimepata picha kuwa wale mbwa tuliokuwa tukifuga ndiyo PitBull wenyewe(niliogopa).
View attachment 2504646
Matukio ya mauaji ya wamiliki na watoto kutoka kwa mbwa hawa yamekuwa mengi sana. Malalamiko nayo yamekuwa mengi sana kila kona ya dunia hii.
Swali langu ni je, vinasaba vya mbwa hawa ni vya asili kabisa na havijafanyiwa 'cross breeding'?
Kwa sababu kimuonekano wanatisha isivyo kawaida, hasa sura, na miili yao haina manyoya kama ya mbwa tulioawazoea!
Pia vifua vyao ni vipana sana na wanatembea kwa kujitanua mno(kibabe) hali inatozidi kunipa mashaka sana.
Nakumbuka tuliwahi kuwa na mbwa wa aina hii zaidi ya mara mbili nikiwa mdogo kiasi, ila sikujua kama ni pitbull.
Mpaka nilivyoona picha zao na kuoanisha na mbwa tuliowahi kufuga ndipo nimepata picha kuwa wale mbwa tuliokuwa tukifuga ndiyo PitBull wenyewe(niliogopa).