Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah kweli Mkuu week iliyo pita nimemaliza kuuguza kidonda changu baada ya kung'atwa na Mbwa wangu mwenyewe Yani niliingia ndani gafla akaanza kunishambulia Tena ilikuwa mchana kweupe [emoji1787][emoji1787] nilitaka kumuua lkn nimeamua kumuacha tuuHii ni kweli kabisa. Hawa mbwa wanatabia ya kusahau m'miliki na wanaweza kukushambulia maana memory zao huwa zinashake wanapandwa na mashetani wanaanza kushambulia hata watu wasiohusika.
Ah ah ao wakina manunu wanatumika kulamba Papuchi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unamuongelea manunu au?
Duuh angalia izo muscle za miguuni kama linanyanyua chuma vile [emoji119][emoji119]Huyu Yuko Kama ibilisi aisee[emoji15]View attachment 2518630
Huyu nilomtaja hapo juu au pitbull wa mtoa mada?Huyo mbwa lazima kuwa na vibari ila hapa tanzania sijajua maana mchanganyiko wake sio mbwa wa kawaida kwa hasira
Hapana na ongelea jamii pitbull, ukiwa USA unafuga na majirani wakijua wanapiga simu polisiHuyu nilomtaja hapo juu au pitbull wa mtoa mada?
Huyo mlamba pussy.. Hana shida huyo. 😂Unamuongelea manunu au?
Samahani Mkuu kwa nn wanakua kama nyara ?Kuna huyu mbwa
huwa nataman Sana kumfuga ,
ila naskia Ni nyara ya serikali ukikutwa
Kama ilivyo kwa ndege tausi,Mali ya ikulu
Ukikutwa nae Ni balaa zito
Bora ukutwe na meno ya tembo
Angalau Unaweza kujieleza wakakuskilizaView attachment 2518652View attachment 2518653
Vile havina shida 😂🤣Unamuongelea manunu au?
Da!? Hapa sisogei 🙄mbwa kama anaenda GmyHawa mbwa mabaunsa balaa[emoji4]View attachment 2518636