NaamAm sorry but you are not making a point !
Kukwama kwa kodi la pango
Kwan we hujui shida za muhmuShida gani za muhimu??
hahahaah hiyo ni yako.Kukwama kwa kodi la pango
Sizijui.Kwan we hujui shida za muhmu
wewe ulimsaidia alipokuwa analipia pango lake? kama pango limekushinda rudi tu kwa wazazi wako mpaka utapoolewa.Kukwama kwa kodi la pango
Ha haaaShida muhimu za mademu wa siku hizi ni bata...nyingine ni mizinga tu!!
Acha tu nikutoe wasiwasi hakunaga husband material bali wife material tuuu.Unakuta jamaa anamuimbia manzi kila siku kuhusu kutaka kumuoa.
Jamaa anagharamia bata zote lakini hayupo tayari kumsaidia demu ake katika shida muhimu ?
Ni kijiswali tu ?
Mademu hawanaga shidaKwa hiyo ukiwa katika mahusiano , demu wako akikwama hutamsaidia
Hivi Dada unafanya Kazi na still anakuja kulalamika huku uwanjani kuwa unataka ulipiwe kodi ya Nyumba unayoishi Wewe.... Nafikiri nahitaji muda zaidi kuelewa hii concept.....
Mkuu kwani we ni me au ke?
Ulifikiria nini katika kuuliza hilo swali hapo juu .....!!!!
Hivi ninyi wadada wa siku hizi hamuwezi kuzungumzia mapenzi bila kuhusisha au kutaja mambo ya kupenda kuhongwa humo ndani ya stori????
Wewe huwa hupendi kuhongwa dear?Inashangaza sana......!!!!!