Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,135
- 4,306
Wewe huwa hupendi kuhongwa dear?
It is the very last item in my priority list.....!!!! Siwazagi kuhongwa kama ni kitu cha priority saaaaana wakati Nina mikono 2 na miguu miwili kama hao wahongaji......!!!! Ikitokea itokee tuu by chance...lakini sio kuja huku uwanjani na kuanza kulalamika hujahongwa kodi ya Nyumba..... Pttttttuuuuuu!!!!!