Hivi hawa ndugu zetu KE hawawezi toboa maisha pasipo kupata "Tag" kutoka kwa ME?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Inakuwaje wote Mungu katupa akili sawa, ghafla kuna mtu anaamua kutamani kufugwa na kuwa chini ya uthibiti wa mtu mwingine?

Yaani ikitokea mwanamke kaolewa na mtu wa chini sana, na huyo mtu wa chini akishindwa kutoboa ndiyo imetoka hiyo. Soluhisho ni kuuza K tu.

Na wengi wao wanauza K hadi wanazeeka.
 
Pole sana kwa unayopitia.
 
Kiukweli mwanamke hata awe na mshahara milion 10 Ni ngumu kujitegemea Ni wachache wanaotoboa kwa pesa zao kwasababu Wana vitu vyingi vinavyofuja pesa
 
Hiyo ndo maana halisi ya mfumo dume
 
Ni sawa na vile Mungu alivyompendelea mzungu akampa akili na ustaarbu kuliko mtu mweusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…