Hivi hawa RFA wanaokota wapi hawa watangazaji..?

Waachie wasukuma radio yao mkuu.
 
Watangazaji kama hao ukimuuliza vyeti atakuja na begi zima.

jana nimemsikia mmoja kasema "wengi walitamani kombe lichukuliwe na Waafrica lakini ndio hivyo limeenda Algeria".
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watangazaji kama hao ukimuuliza vyeti atakuja na begi zima.

jana nimemsikia mmoja kasema "wengi walitamani kombe lichukuliwe na Waafrica lakini ndio hivyo limeenda Algeria".
Ni mpumbavu huyo
 
Asilimia kubwa Bongo media nyingi zina watangazaji wa hovyo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…