Hivi hawa tangu zamani za mababu kuna imani, ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi yaani Albinism, wakifa ni kweli miili yao inapotea? au haionekani?

Hivi hawa tangu zamani za mababu kuna imani, ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi yaani Albinism, wakifa ni kweli miili yao inapotea? au haionekani?

smaki

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2019
Posts
4,976
Reaction score
3,098
As mentioned above, je ni kweli kuwa hawafi bali hutwaliwa? au hupotea? ni nanai kati yetu humu amewahi kuhudhuria mazishi ya albino, mbali na wale wanaofanyiwa ukatili wa kutisha? nimeuliza hili swali Africa kusini yote! jibu ni hawajawahi kushuhudia mazishi ya albino!

Je ni kweli hawawezi kwenda above 40 ki-umri? sasa km nikimpenda wa hivyo si ataniacha mjane mapema? au inakuwaje mlio kwenye mahusiano na hawa watu!

ONYO; Tafadhali wewe na mimi tuwe mstari wa mbele kutokomeza mauaji ya albino Duniani.
 
As mentioned above, je ni kweli kuwa hawafi bali hutwaliwa? au hupotea? ni nanai kati yetu humu amewahi kuhudhuria mazishi ya albino, mbali na wale wanaofanyiwa ukatili wa kutisha? nimeuliza hili swali Africa kusini yote! jibu ni hawajawahi kushuhudia mazishi ya albino!

Je ni kweli hawawezi kwenda above 40 ki-umri? sasa km nikimpenda wa hivyo si ataniacha mjane mapema? au inakuwaje mlio kwenye mahusiano na hawa watu!

ONYO; Tafadhali wewe na mimi tuwe mstari wa mbele kutokomeza mauaji ya albino Duniani.

Ukimpenda akuoe au ?????

Kwa uchache wao hata kusikia misiba yao ni nadra sana..
Wanaishi na kufariki kama raia wengine,nenda kwa wasafwa huko mbeya utakuta habari zao waliofariki bila kufanyiwa hiyana na binadam kiatu..
Hawafiki miaka 40 kivipi?
Yule msemaji wa timu gani sijui ana umri gani ?
 
Msemo wa kupotea au kutwaliwa ulikuwa katika jamii ambazo ziliamini ushirikina tangu awali, wengi wa waliofariki walizikwa na familia kwa siri kuhofiwa ‘kutwaliwa’.

Wengine hawakuruhusiwa kukua, hivyo ‘walitwaliwa’ mapema tu na familia ili kuficha kile walichokiita aibu.
 
Hawafiki miaka 40 kivipi?
Yaani walio wengi hawaivuki miaka 40, siyo wote but walio wengi, either atapotea au kuuawa, hata akiuawa hawapumziki vyema Makaburini, lazima yafukuliwe na watu wenye asili ya nguvu za giza, ili kuchukua viungo vyao vya mwili kwa matumizi mengine!
 
Yaani walio wengi hawaivuki miaka 40, siyo wote but walio wengi, either atapotea au kuuawa, hata akiuawa hawapumziki vyema Makaburini, lazima yafukuliwe na watu wenye asili ya nguvu za giza, ili kuchukua viungo vyao vya mwili kwa matumizi mengine!
Ungeuliza je umewahi kuona mmasai Albino hapo jibu ungepata hakuna mmasai albino.

Albino ni binadamu kama wengine, ukienda makaburini hakuna alama ya kaburi la albino kuna majina tu ya marehemu.
 
Albino ni binadamu kama wengine,
Wewe Muongo sana sijawahi kuona , au lah huelewi unacho zungumza sasa sikia waliosoma ......

Zeruzeru ni mlemavu wa ngozi, kwa mantiki hiyo hawezi kuhimili miali ya jua!! safu ya Melanin ktk ngozi yake ni pungufu , kulinganisha na walizo nazo watu wengine wooote weusi!!!

Mtu mweusi ana safu 12 za Melanin, for Utla violet shield, White Europeans, Mullatoes, Indians just only two layer!
 
Ukimpenda akuoe au ?????

Kwa uchache wao hata kusikia misiba yao ni nadra sana..
Wanaishi na kufariki kama raia wengine,nenda kwa wasafwa huko mbeya utakuta habari zao waliofariki bila kufanyiwa hiyana na binadam kiatu..
Hawafiki miaka 40 kivipi?
Yule msemaji wa timu gani sijui ana umri gani ?
sawa mkuu
 
Ukimpenda akuoe au ?????
Ulijuaje wana cha kuolea kama hawajakuwowa???....ndo maana unanionea wivu! hata kwa albino!! weye endelea tu kufaidi ...usitie shaka mkuu!...lkn usiwaunganishie pilla la kifo!... make hamuaminiki nyie watu wa Mbeya mjini!!
 
Back
Top Bottom