Namwangalia huyu Gavana Cuomo wa New York kupitia Fox News akimwaga maneno yalipangilika vizuri kuhusu corona kwa muda mrefu sasa, zaidi ya saa moja na zaidi. Ukimwangalia haonekani akisoma popote pale (labda kama sielewi). hakuna blah blah blah, ni madini tupu.
Nawakumbuka kina Obama na viongozi wengine wengi wa Marekani wako hivyo. nikilinganisha na huku kwetu naona kama kuna utofauti mkubwa sana. wajuzi, hawa jamaa wanawezaje? Ni uwezo tu wa akili zao au kuna namna wanafanya?
Nawakumbuka kina Obama na viongozi wengine wengi wa Marekani wako hivyo. nikilinganisha na huku kwetu naona kama kuna utofauti mkubwa sana. wajuzi, hawa jamaa wanawezaje? Ni uwezo tu wa akili zao au kuna namna wanafanya?