Hivi hawa viongozi wa Marekani wanatumia mbinu gani kumwaga madini kwa muda mrefu hivi?

Hivi hawa viongozi wa Marekani wanatumia mbinu gani kumwaga madini kwa muda mrefu hivi?

Namwangalia huyu Gavana Cuomo wa New York kupitia Fox News akimwaga maneno yalipangilika vizuri kuhusu corona kwa muda mrefu sasa, zaidi ya saa moja na zaidi. Ukimwangalia haonekani akisoma popote pale (labda kama sielewi). hakuna blah blah blah, ni madini tupu.

Nawakumbuka kina Obama na viongozi wengine wengi wa Marekani wako hivyo. nikilinganisha na huku kwetu naona kama kuna utofauti mkubwa sana. wajuzi, hawa jamaa wanawezaje? Ni uwezo tu wa akili zao au kuna namna wanafanya?
Huyo Andrew Cuomo kaandaliwa kuwa kiongozi tangu mdogo, baba yake, Mario Cuomo alikuwa Gavana wa New York kama yeye.

Halafu wenzetu shule wanazifanyia kazi kweli, si ku copy copy tu vitu. Na mambo ya public speaking Marekani unaweza kukuta kitoto kinacheza Basketball High School, kinaulizwa maswali, kinajieleza vizuri kuliko mwanasiasa mkongwe wa Tanzania.

Wamejiandaa, nasoma autobiography ya Andrew Cuomo hapa, jamaa yuko vizuri katika kujieleza.

Ila Marekani nasi tuna matutusa yetu kama Trump.

Kuna watu kama 100,000 wamwanzisha petition press conferences za kila siku za Trump zisioneshwe kwenye TV.

Wengine wanasema wanataka Andrew Cuomo agombee urais.

Mtu ukiwa mchapakazi na unafuatilia mambo, unasoma, unashauriana na staff wako, wanaweza kufanya kazi kubwa wao, wewe wanakuoa u present tu main points.

Ukitaka kujua hili, ukiangalia press conferences za Andrew Cuomo, utaona kuna maswali mengine technical akiukizwa anawaita wasaidixi wake walii wataalamu kwenye nyanja husika za swali wajibu kitaalamu zaidi.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Nami pia nilikuwa nacheki jinsi wale waandishi walivyokaa umbali bila kugusana baina yao
 
Huyo Andrew Cuomo kaandaliwa kuwa kiongozi tangu mdogo, baba yake, Mario Cuomo alikuwa Gavana wa New York kama yeye.

Halafu wenzetu shule wanazifanyia kazi kweli, si ku copy copy tu vitu. Na mambo ya public speaking Marekani unaweza kukuta kitoto kinacheza Basketball High School, kinaukizwq maswali, kinajieleza vizuri kuliko mwanasiasa mkongwe wa Tanzania.

Wamejiandaa, nasoma autobiography ya Andrew Cuomo hapa, jamaa yuko vizuri katika kujieleza.

Ila Marekani nasi tuna matutusa yetu kama Trump.

Kuna watu kama 100,000 wamwanzisha petotion press conferences za kila siku za Trump zisiineshwe kwenye TV.

Wengine wanasema wanataka Andrew Cuomo agombee urais.

Mtu ukiwa mchapakazi na unafuatilia mambo, unasoma, unashauriana na staff wako, wanaweza kufanya kazi kubwa wao, wewe wanakuoa u present tu main points.

Ukitaka kujua hili, ukiangalia press conferences za Andrew Cuomo, utaona kuna maswali mengine technical akiukizwa anawaita wasaidixi wake walii wataalamu kwenye nyanja husika za swali wajibu kitaalamu zaidi.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Alafu kiingereza chake anaongea sentence moja moja hata Mimi nilikuwa naelewa Hana Ile slang kama trump
 
Kwa viongozi wote wa dunia waliopita hakuna mtu namshangaa kama George Marshall, Secretary of State wa Marekani kipindi na baada ya vita ya pili ya dunia. Sijui aliwezaje kushawishi serikali nzima itoe misaada kwa Ulaya baada ya vita ( Marshall Plan). Yule mtu alikuwa na uwezo mkubwa mno wa kuwasilisha jambo.
Marshall alikuwa kichwa, this is not to take anything from that.

Ila, hakuhitaji ushawishi sana, kwa sababu

1.Wamarekani wengi ni wakarimu sana. Mmarekani anaona fahari kusaidia masikini. Hii inachangiwa na mizizi ya Ukristo iliyoanzisha nchi.

2. Rais wa Marekani alikuwa anamuheshimu sana Marshall, na rais mwenyewe Truman alikuwa mwenye mawazo ya kutaka kuwa na Marekani inayoongoza dunia.

3. Mpango wa Marshall ulikusudia kuhakikisha dunia haiingii katika vita tena na inashamiri kiuchumi. Uchuminwa dunia ungeanguka sana, uchumi wa Marekani pia ungeanguka. Ulaya vita ingezuka upya, Marekani nayo ingebidi kuingia katika vita tena. Hivyo, hii ilikuwa ni Investment zaidi.

4. Baada ya vita vikuu vya piki vya dunia, Marekani ilikuwa inashindana na Ukomunisti. Marekani ilitumia nafasi ya Marshall Plan kujenga ushawishi nchi za Ulaya hususan, zisiingue katika vushawishi vya kuwa nchi za Kikomunisti. Kwa kutumia njia za misaada na uchumi, bila vita.

Kuna kitabu kizuri kinaitwa "George Marshall: Defender of the Republic" cha David L. Roll.

Marshall Plan - Wikipedia

George Marshall: Defender of the Republic

George Marshall by David L. Roll: 9781101990971 | PenguinRandomHouse.com: Books

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Huyo Andrew Cuomo kaandaliwa kuwa kiongozi tangu mdogo, baba yake, Mario Cuomo alikuwa Gavana wa New York kama yeye.

Halafu wenzetu shule wanazifanyia kazi kweli, si ku copy copy tu vitu. Na mambo ya public speaking Marekani unaweza kukuta kitoto kinacheza Basketball High School, kinaukizwq maswali, kinajieleza vizuri kuliko mwanasiasa mkongwe wa Tanzania.

Wamejiandaa, nasoma autobiography ya Andrew Cuomo hapa, jamaa yuko vizuri katika kujieleza.

Ila Marekani nasi tuna matutusa yetu kama Trump.

Kuna watu kama 100,000 wamwanzisha petotion press conferences za kila siku za Trump zisiineshwe kwenye TV.

Wengine wanasema wanataka Andrew Cuomo agombee urais.

Mtu ukiwa mchapakazi na unafuatilia mambo, unasoma, unashauriana na staff wako, wanaweza kufanya kazi kubwa wao, wewe wanakuoa u present tu main points.

Ukitaka kujua hili, ukiangalia press conferences za Andrew Cuomo, utaona kuna maswali mengine technical akiukizwa anawaita wasaidixi wake walii wataalamu kwenye nyanja husika za swali wajibu kitaalamu zaidi.

Sent from my typewriter using Tapatalk
ahsante sn, nakubaliana nawe kuwa hawa watakuwa wanaaandaliwa vizuri katika kuongea.....hawawi washangaaji shangaaji. siwashangai hao jamaa wanaotaka huyo Cuomo awe agombee uraisi, yuko vizuri kiukweli!
 
KUNA MADA UNATAKA UIANZISHE ILA UNAZUNGUKA, ANYWAY WAJUVI TUMESHAKUSOMA.
 
ahsante sn, nakubaliana nawe kuwa hawa watakuwa wanaaandaliwa vizuri katika kuongea.....hawawi washangaaji shangaaji. siwashangai hao jamaa wanaotaka huyo Cuomo awe agombee uraisi, yuko vizuri kiukweli!
Juzi Cuomo kuna sehemu aliulizwa, rais Trump kasema anataka kufanya quarantine New York, anasema mmeongea tayari, unasemaje?

Akawa very clear, akasema nimeongea na rais, tumekubaliana na rais, lakini, ni kuhusu mambo mengine. Hilo la quarantine hatujakubaliana na hatujaongea, sijui unachoongelea.

Baadaye akasema rais akileta quarantine tutamshitaki. Hana mamlaka hayo.

Yani fikiria kama Makinda ambishie Magufuli amwambie hana mamlaka ya kufanya kitu, akitaka kufanya kwa nguvu atashitakiwa!

Trump mwenyewe akanywea. Akasema basi sileti hiyo quarantine.

Cuomo kasoma sheria, anajua katiba.

Yani hata pale anapoongea sio anajiongelea ovyo tu, anaongea kwa kufuata misingi ya sheria. Ndiyo maana hata akitoa maoni yake anakuwa clear sana kusema haya maoni yangu tu.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Juzi Cuomo kuna sehemu aliulizwa, rais Trump kasema anataka kufanya quarantine New York, anasema mmeongea tayari, unasemaje?

Akawa very clear, akasema nimeongea na rais, tumekubaliana na rais, lakini, ni kuhusu mambo mengine. Hilo la quarantine hatujakubaliana na hatujaongea, sijui unachoongelea.

Baadaye akasema rais akileta quarantine tutamshitaki. Hana mamlaka hayo.

Yani fikiria kama Makinda ambishie Magufuli amwambie hana mamlaka ya kufanya kitu, akitaka kufanya kwa nguvu atashitakiwa!

Trump mwenyewe akanywea. Akasema basi sileti hiyo quarantine.

Cuomo kasoma sheria, anajua katiba.

Yani hata pale anapoongea sio anajiongelea ovyo tu, anaongea kwa kufuata misingi ya sheria. Ndiyo maana hata akitoa maoni yake anakuwa clear sana kusema haya maoni yangu tu.

Sent from my typewriter using Tapatalk
si mchezo, safi sana!
 
Namwangalia huyu Gavana Cuomo wa New York kupitia Fox News akimwaga maneno yalipangilika vizuri kuhusu corona kwa muda mrefu sasa, zaidi ya saa moja na zaidi. Ukimwangalia haonekani akisoma popote pale (labda kama sielewi). hakuna blah blah blah, ni madini tupu.

Nawakumbuka kina Obama na viongozi wengine wengi wa Marekani wako hivyo. nikilinganisha na huku kwetu naona kama kuna utofauti mkubwa sana. wajuzi, hawa jamaa wanawezaje? Ni uwezo tu wa akili zao au kuna namna wanafanya?
Halafu ndio watapona kwa corona au
 
Subiri uone baada ya corona kupita kutakuwa na Makonda Plan.
Plan ya kuwasaidia watanzania kupambana na madhara ya corona virus
Hiyo itakuwa kama kawaida ya mipango yake ilivo. Huwa haifanikiwi, kasoro moja tu ya kuingia kituo cha televisheni na silaha.
 
inaonekana kuna vichwa sana kule......mzee xi jinping huwa namuona na makaratasi yake akisema kitu
Mzee Xi sio mwongeaji kabisa. Na sio kawaida ya viongozi wa China kuwa waongeaji maana hawaulizwi, huwezi kuwahoji wala kuwataka watoe tamko. Hii case ya corona si unaona Trump anaongea kila mara, Xi yeye kaongea mwishoni kabisa wakati Wuah wanaifungua lockdown.
 
Namwangalia huyu Gavana Cuomo wa New York kupitia Fox News akimwaga maneno yalipangilika vizuri kuhusu corona kwa muda mrefu sasa, zaidi ya saa moja na zaidi. Ukimwangalia haonekani akisoma popote pale (labda kama sielewi). hakuna blah blah blah, ni madini tupu.

Nawakumbuka kina Obama na viongozi wengine wengi wa Marekani wako hivyo. nikilinganisha na huku kwetu naona kama kuna utofauti mkubwa sana. wajuzi, hawa jamaa wanawezaje? Ni uwezo tu wa akili zao au kuna namna wanafanya?
Hao unaowaona ni final products za best universities in the world..
Obama .. Harvard
Cuomo Yale na kadhalika..

Ukipeleka watu best schools lazima wakisimama wakiongea ..waongee vya maana
 
Back
Top Bottom