inaonekana kuna vichwa sana kule......mzee xi jinping huwa namuona na makaratasi yake akisema kituKwa viongozi wote wa dunia waliopita hakuna mtu namshangaa kama George Marshall, Secretary of State wa Marekani kipindi na baada ya vita ya pili ya dunia. Sijui aliwezaje kushawishi serikali nzima itoe misaada kwa Ulaya baada ya vita ( Marshall Plan). Yule mtu alikuwa na uwezo mkubwa mno wa kuwasilisha jambo.
Subiri uone baada ya corona kupita kutakuwa na Makonda Plan.Kwa viongozi wote wa dunia waliopita hakuna mtu namshangaa kama George Marshall, Secretary of State wa Marekani kipindi na baada ya vita ya pili ya dunia. Sijui aliwezaje kushawishi serikali nzima itoe misaada kwa Ulaya baada ya vita ( Marshall Plan). Yule mtu alikuwa na uwezo mkubwa mno wa kuwasilisha jambo.
Sio kweli mkuuIQ level yao iko juu sana.
HUU NDIO UKWELI MCHUNGI
IQ level yao iko juu sana.
HUU NDIO UKWELI MCHUNGI
Ukweli ni upi mkuu?Sio kweli mkuu
I mean Mchungu mkuu......mikono Ina mifupaMchungi
Wale wanatuiga mambo mengiUkweli ni upi mkuu?
Hahahaaaa.......Wale wanatuiga mambo mengi
Jiwe yeye anahutubia huku anaangalia nani anamwangalia mke wake
Unamchafulia jina rais wetu msomi mwenye doctorateJiwe yeye anahutubia huku anaangalia nani anamwangalia mke wake
Kuandika kwako ushuzi haikusaidi kitu zaidi ya kukuongezea idadi ya nzi makalioniJiwe yeye anahutubia huku anaangalia nani anamwangalia mke wake
Jiwe yeye anahutubia huku anaangalia nani anamwangalia mke wake
Acha kujikomba kombaKuandika kwako ushuzi haikusaidi kitu zaidi ya kukuongezea idadi ya nzi makalioni
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA