Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Those ar just ugly bitch there iz hot bitches more dan those
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo kaka yangu,hakuna mbaya.Mmmh nifah upo,, VP mbona kimya tatizo nn dadangu
sasa mkuu nasikia uyu vanessa kaenda kujigegedesha kwa trey songz etiKiukweli kabisa mimi nimekuja mjini mwaka jana tu, yaani sikuzote nilikuwa nakaa kwetu Tandahimba ndanindani, Redio niliyokuwa nasikiliza ni RTD sasahivi inaitwa TBC Taifa. Na hata kiswahili nimejifunza baada ya kuja mjini. Nilivyokuja mjini ndio nikaanza kuwajua na wasanii sahivi nimekuwa mjanja hadi najiogopa. Swali langu ni je hawa wadada wamezaliwa Tanzania au wamekuja huku ukubwani kwa bahati mbaya? Maana tabia na swaga zao naona kabisa hawastahili kukaa kwenye hii nchi ya waswahili akina Msagasumu na ManFongo, sio type yao kabisa. Hawa walifaa sahivi wawe mitaa ya NewYork City wanakula maisha na wakina Mayweather na Justin Bieber. Ukipiga nao stori huwezi fikiri kama hata msalani wanaenda, yaani kumbe kukaa Tandahimba nilikuwa napitwa na mengi.
View attachment 410338
View attachment 410339
View attachment 410343
View attachment 410340
View attachment 410345
View attachment 410341
Duh milioni kadhaa....bora nami nirudi Tandahimba kiongozi.Hapo mwenye kujiheshimu ni mmoja tu na Mrs Mengi na kwa sababu ni Mrs mengi angalau anaweza kuwa na ndoto Ya kulink na kina myweather,hao wengine wote wanabanduliwa kwa milioni kadhaa za madafu.
KweliKwahiyo tukusaidie nini sasa?
Karibu mjini...bado kuna mengine mengi zaidi ya hayo.
PoleAsante, yaani mjini kumbe ndo mko juu hivi, nilikuwa napitwa!
Hapa kweli mtu kafunuliwa,si kwa jicho hili.Yap, kajipendekeza hadi kaliwa