Hivi hawa wadada ni watanzania?

Waone hivyohivyo hao mziki wake lazima uwe na vyombo vya kutosha bila hivyo unaweza washa mziki mwenzio asisikie wala kucheza maana uwanja ni mkubwa mno inabidi uwe na mziki mnene
 
mbona hao viazi tu, njoo huku kwetu nikuoneshe
 
Mmmh nifah upo,, VP mbona kimya tatizo nn dadangu
 
sasa mkuu nasikia uyu vanessa kaenda kujigegedesha kwa trey songz eti
 
Hapo mwenye kujiheshimu ni mmoja tu na Mrs Mengi na kwa sababu ni Mrs mengi angalau anaweza kuwa na ndoto Ya kulink na kina myweather,hao wengine wote wanabanduliwa kwa milioni kadhaa za madafu.
Duh milioni kadhaa....bora nami nirudi Tandahimba kiongozi.
 
hilo tako la wema mboona silielewi? limekaa irregular au ndo mchina
 
izo picha tu za smrt fone 360 umeshawai kukutananao live
 
Facts:
Tako la sepetu halizami bahariniπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
 
Pamoja na kuja mjini hauna ktu bado mshamba ...unadanganywa na rangi za kununua bado haujawa mjanja unaitaji muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…