HIVI HAWA WANAOPINGA USHINDI WA TUNZO YA MODRIC WANASUMBULWA NANINI?

HIVI HAWA WANAOPINGA USHINDI WA TUNZO YA MODRIC WANASUMBULWA NANINI?

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
mapenzi ya wachezaji vipenzi vyao?
au ni ufahamu mdogo wa mchezo wa Football?

Hebu jitokezeneni tukufahamuni
 
Tangu lini wewe ukafahamu mchezo wa soka. Hakuna Mwafrika mweledi kwa chochote
 
Waliozaliwa Jana hawamjui modrik EPL yote amecheza Kwa ubora uleule Bila kupungua kiwango huyo ni fundi
 
Modric' amekuwa kwenye kiwango bora kwa muda mrefu sema tu alifunikwa na kivuli cha Xavi, Iniesta kwenye midfield hapo nyuma kabla ya wazee hao kuchoka
Ila tuzo inamfaa sana tena sana
 
Modric' amekuwa kwenye kiwango bora kwa muda mrefu sema tu alifunikwa na kivuli cha Xavi, Iniesta kwenye midfield hapo nyuma kabla ya wazee hao kuchoka
Ila tuzo inamfaa sana tena sana
Emma umejibu vizuri unajua kuna wakati nawaza modric alikuwa kwenye ubora wakati yupo Tottenham ,muangalie bale wa Tottenham na huyu wa Madrid maisha ya mpira ni mpito sana
 
Watu wamekariri kua kila tuzo basi iwe ni Messi au Ronaldo! huu ni muda wa Modric sasa japo nae umri umeenda ila sio mbaya nae akalamba Balon d'Or.
 
Back
Top Bottom