Hivi hawa "warembo wa TBC" Eliza na mwenzako Neema, ni majimbo yaliyo huru?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Jamani hill ndio swali langu mwenye kuweza kutoa majibu afanye hivyo.

Msinulize maswali please.
 
Jamani hill ndio swali langu mwenye kuweza kutoa majibu afanye hivyo.

Msinulize maswali please.
Elizabeth Mramba ni jimbo lililo wazi na namfahamu sana tangu akiwa O-level na A-level pale Arusha Meru.

Ni jimbo lililo wazi ila ni Mchunaji na Mtumiaji wa pesa haswaa, hata Marehemu Swalha wa Saidi anaiga.

Pia anavyotangaza ni tofauti na ukimkuta ktk mazingira ya uraiani...ana mapozi sana...anajiita MKABESA...Mwanamke Pesa / Mbesa

Huyo Neema simfahamu kabisa [emoji23]
 
Kasoma Arusha Meru?
 
Mkuu mnona huyo Mkabesa juzi alisherehekea sherehe ya kuzaliwa ya baby wake?
View attachment 2256798
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…